Mvaa Tai
JF-Expert Member
- Aug 11, 2009
- 6,159
- 4,443
kwa mnaojua kuestimate nyumba kama hii inaenda kama shilingi ngapi,sitaki kusumbua vicredit vyangu kny simu...nataka kujua kama ninafford ninegotiate au si afford nisepe...
Kwa nyumba kama hiyo na eneo iliopo mimi naweza kumpa M59 kama bati zange ni Stainless, kama ni zile bati zetu zile mtafutie M56