Nashukuru kwa maoni na ushauri aisee ila hawa uliowataja sidhani kama nina hamu nao!Nyumba ndogo zinaharibu ndoa, ukiwa na hamu na mechi za ugenini kamata mabaa maid, machangudoa na wengine wa aina hiyo, sababu baada ya game hakuna kutafutana.
PM pls
Awe anajielewa, mrembo, umri co chini ya miaka 28 mwanamke awe serious. Tutafutane.