SijichoshiNdo mjishugulishe
Ndoa ikipumulia ICU msije na nyuzi za kulia liaNyumba ndogo raha sana wakuu, hauchoki kila kitu ni burudani kama mnavyoona wakuu hicho kitu cha ugali.View attachment 816753
Huyu mwizi tu. Anakuibia kama ulitoa hela aandae chakula. Hana tofauti na huyu. Wote wezi.Nyumba ndogo raha sana wakuu, hauchoki kila kitu ni burudani kama mnavyoona wakuu hicho kitu cha ugali.View attachment 816753
Mara 100 nipate tabu kuliko kujichoshaNdo utapata tabu sana
Ugali wa darNyumba ndogo raha sana wakuu, hauchoki kila kitu ni burudani kama mnavyoona wakuu hicho kitu cha ugali.View attachment 816753
Nyumba ndogo raha sana wakuu, hauchoki kila kitu ni burudani kama mnavyoona wakuu hicho kitu cha ugali.View attachment 816753
Huyo wa mkate jambaziHuyu mwizi tu. Anakuibia kama ulitoa hela aandae chakula. Hana tofauti na huyu. Wote wezi.
View attachment 816906
View attachment 816907
Nyumba ndogo raha sana wakuu, hauchoki kila kitu ni burudani kama mnavyoona wakuu hicho kitu cha ugali.View attachment 816753
Kwanini uniwinde Mimi muwinde mkeo mkuu. Mwanamke akichepuka kuna tatizoWe Big Baba mpumbavu sana wewe, kumbe ndiyo wewe unayemchanganya mke wangu, enheeee? Sie huku nyumbani hatuelewani kwa ajili yako na sasa umeenda mbali mpaka unaweka sahani zangu za nyumbani mtandaoni kunikashifu? Haki ya nani nitakuwinda kuanzia sasa. Mi nilifikiri nimeoa kumbe ninachangia mke na wewe fisi?
Mwanaume ndio umeruhusiwa kuzini kumbe? kwa mawazo haya tuna safari ndefu zana wanaume...Kwanini uniwinde Mimi muwinde mkeo mkuu. Mwanamke akichepuka kuna tatizo