Nyumba ndogo kwangu poa tu

fikirini

Senior Member
May 24, 2011
114
22
Hivi jamani, inakuwaje akina baba wanajihalalishia kuwa na nyumba ndogo ili hali wake zao nao wakipata nyumba ndogo wanakuwa wakali kuzidi nyuki waliochokozwa..mi naona wanawake nao wajihalalishie tu nyumba ndogo, yaani kama wanaume walio wengi wanaoendekeza tabia hiyo.:A S 100:
 
Hivi jamani, inakuwaje akina baba wanajihalalishia kuwa na nyumba ndogo ili hali wake zao nao wakipata nyumba ndogo wanakuwa wakali kuzidi nyuki waliochokozwa..mi naona wanawake nao wajihalalishie tu nyumba ndogo, yaani kama wanaume walio wengi wanaoendekeza tabia hiyo.:A S 100:

Ushauri wako ni mbofu mbofu,unataka haribu ndoa za watu!
 
mmmmhhhh upanga kwa upanga
daahhh naonea huruma familia
sanasana watoto...
 
Hivi jamani, inakuwaje akina baba wanajihalalishia kuwa na nyumba ndogo ili hali wake zao nao wakipata nyumba ndogo wanakuwa wakali kuzidi nyuki waliochokozwa..mi naona wanawake nao wajihalalishie tu nyumba ndogo, yaani kama wanaume walio wengi wanaoendekeza tabia hiyo.:A S 100:

wewe boya kweli kweli!..kubwa zima akili kaa bi.mkora
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom