fikirini
Senior Member
- May 24, 2011
- 114
- 22
Hivi jamani, inakuwaje akina baba wanajihalalishia kuwa na nyumba ndogo ili hali wake zao nao wakipata nyumba ndogo wanakuwa wakali kuzidi nyuki waliochokozwa..mi naona wanawake nao wajihalalishie tu nyumba ndogo, yaani kama wanaume walio wengi wanaoendekeza tabia hiyo.:A S 100: