Hizo ni type za Umalaya na Malaya ndio wanaozijua sana. Mimi najua huwa hakuna nyumba ndogo zilikuwepo enzi za mababu tu na zilikuwa zinajulikana kwa nyumba kubwa. hayo unayoongelea wewe ni aina za umalaya, na jinsi unavyoweza kuwa Malaya zaidi bila mkeo kujua. Period !
Kuna aina kuu 2 za nyumba ndogo
1. Type I; Ambayo mwanaume akiwa nayo humnyanyasa mkewe, huchelewa kurudi home bila maelezo, humpiga mkewe endapo akimuuliza au kumfumania, hatoi matumiz ya kutosha home, mostly anapeleka kwa nyumba ndogo n.k. Mara nyingi nyumba ndogo hizi huzaa na huyo mwanaume.
2. Type II. Ambayo mwanaume anakuwa nayo kwa siri sana, hapendi mkewe hata ashuku, mapenzi huwa ya siri kubwa na nyumba ndogo yenyewe inaambiwa kabisa i-'behave' ikijua kuwa kuna mwenye mali yake.
huwa kuna intermediate kati ya hizo mbili pia...
Mi naongelea type II. Hii, KIMSINGI huimarisha mapenzi ya mwanaume kwa mkewe (au GF, au mchumba).
Kwa nini
- Mwanaume akiwa na nyumba ndogo kwa siri, hujitahidi sana mkewe asishtuke. Katika kufanya hivi, mambo anayofanya kwa kiasi kikubwa huongeza upendo kwa wife. Kwa mfano kama anajua kesho anatoka na small house, basi leo atarudi hom mapema, sometimes ataleta zawadi, atakuwa mnyenyekevu ili baadae akitoa taarifa kuwa 'wife kesho nitakuwa na ka-kikao Kibaha, may be nitachelewa kidogo kurudi' bas wife anakuwa mpole na hahis kitu. Tena siku hiyo atajitahidi hata kama ni gem akamue kwa juhudi na utaalam wote, ili wife kesho yake asiwe saaana na apetite.
All in all ni kuwa katika kuficha madhambi yake kwa wife, mwanaume mwenye nyumba ndogo type II, hufanya mambo mazuri kwa mke ambayo asingeyafanya tu katika hali ya kawaida...
Nawakilisha...
mmmh na walaaniwe wanaume wote wenye nyumba ndogo hapo naona kama hoja tu inatetewa:mad2:
Kwa taharifa wengi hawaamii huko nyumba ndogo wanaenda kuchungulia tu. Wanaoamia wala hawaishi kwa amani. Juzi kati tumetoka kumzika mmoja just a year baada ya kuhama nyumba kubwa.
Kwa taharifa wengi hawaamii huko nyumba ndogo wanaenda kuchungulia tu. Wanaoamia wala hawaishi kwa amani. Juzi kati tumetoka kumzika mmoja just a year baada ya kuhama nyumba kubwa.
ubazazi tu wa mwanadamu!kazi ya kuboresha ndoa si ya mwanamke peke yake!
kabla hujaenda nyumba ndogo jiulize umefanya mangapi kuifanya ndoa yako iwe mpya!
we mwanaume tu ubaki na likitambi lako mchakato wa kueleweka hutoi,.hutoi pesa ya kumpendezesha huyo mke,dada zako wanamkera mkeo na uchimvi kila uchao,huna mawasiliano sahihi na mkeo kila siku maagizo tu ka yuko na babake mzazi au mkwewe,umemzalisha mkeo watoto kama kumbi kumbi,pesa ya matumizi unahesabia kweny mfuko,humuamini mkeo,hujali jitihada zake,humkuzi kifikra ili ajiamini unapata wapi guts za kusema nyumba kubwa imekusababishia nyumba ndogo?!JUSTIFICATION TU HIZO!