NAREI
JF-Expert Member
- Mar 10, 2017
- 1,730
- 1,648
Salaam,
Nyumba inauzwa ipo banana (KITUNDA)
(8km from airport)
Maelezo:
Ina vyumba vinne vya kulala (kimoja ni master bedroom), jiko, sebule, store, dinning room na public toilet.
(Ukubwa wa vyumba ft 12 kwa 12)
Nyumba imeshafanyiwa plundering Bado kufunga gypsum tu.
Pia skimming tayari bado kupaka rangi.
(Mnunuzi atakua na option aina ya finishing nzuri anayoihitaji kuifanya Mwenyewe)
Mwisho kabisa.
Ina fensi iliyozungushwa kwa umeme
Ina kisima chenye kutoa maji safi na salama.
Eneo la NYUMBA ni SQM 625 (25m×25m)
Ipo mtaa mzuri na tulivu uliopangika
Price: 65m (negotiable with owner)
Contact through: 0756 832833
Note: picha za ndani kwa interested clients zitatumwa kwa WhatsApp.
Nyumba inauzwa ipo banana (KITUNDA)
(8km from airport)
Maelezo:
Ina vyumba vinne vya kulala (kimoja ni master bedroom), jiko, sebule, store, dinning room na public toilet.
(Ukubwa wa vyumba ft 12 kwa 12)
Nyumba imeshafanyiwa plundering Bado kufunga gypsum tu.
Pia skimming tayari bado kupaka rangi.
(Mnunuzi atakua na option aina ya finishing nzuri anayoihitaji kuifanya Mwenyewe)
Mwisho kabisa.
Ina fensi iliyozungushwa kwa umeme
Ina kisima chenye kutoa maji safi na salama.
Eneo la NYUMBA ni SQM 625 (25m×25m)
Ipo mtaa mzuri na tulivu uliopangika
Price: 65m (negotiable with owner)
Contact through: 0756 832833
Note: picha za ndani kwa interested clients zitatumwa kwa WhatsApp.