Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mmh umesema haijawahi kaliwa lakini cha ajabu sofa,TV na shughuli zingine za kifamilia zinaendelea,au walikuwa Wana angalia mafundi
Hiyo nyumba haina mgogoro wowote?Salaam,
Nyumba inauzwa ipo banana (KITUNDA)
(8km from airport)
Maelezo:
Ina vyumba vinne vya kulala (kimoja ni master bedroom), jiko, sebule, store, dinning room na public toilet.
(Ukubwa wa vyumba ft 12 kwa 12)
Nyumba imeshafanyiwa plundering Bado kufunga gypsum tu.
Pia skimming tayari bado kupaka rangi.
(Mnunuzi atakua na option aina ya finishing nzuri anayoihitaji kuifanya Mwenyewe)
Mwisho kabisa.
Ina fensi iliyozungushwa kwa umeme
Ina kisima chenye kutoa maji safi na salama.
Eneo la NYUMBA ni SQM 625 (25m×25m)
Ipo mtaa mzuri na tulivu uliopangika
Price: 65m (negotiable with owner)
Contact through: 0756 832833
Note: picha za ndani kwa interested clients zitatumwa kwa WhatsApp.
View attachment 807004View attachment 807005View attachment 807006View attachment 807007View attachment 807009
Nikulize wewe na ukitaka nitakuambia kwanini ila kwa maana hainiusu nipo kimya sitaki kuongea kitu chochote tafuta wateja wauzie yangu machokwanin yeye alijenga turudi huko