Hello Wana JF,
Natafuta nyumba ya chumba kimoja cha kulala,jiko na sebule pamoja na choo ndani kawe self contained. Budget yangu ni 200K. Sehemu iwe ya kupaka gari, nyumba iwe na uzio, sio uswazi na umeme na maji viwe vya kujitegemea. Kifupi pawe pasafi.
Plz naomba mnisaidie
Natafuta nyumba ya chumba kimoja cha kulala,jiko na sebule pamoja na choo ndani kawe self contained. Budget yangu ni 200K. Sehemu iwe ya kupaka gari, nyumba iwe na uzio, sio uswazi na umeme na maji viwe vya kujitegemea. Kifupi pawe pasafi.
Plz naomba mnisaidie