- Thread starter
- #41
Mkuu nimekuelewa, labda kiswahili tonatofautiana, mods wataangalia ni upi usahihiBadilisha heading ieleweke vizuri, hapo una maana hiyo nyumba haitakaa iishe ( nyumba isiyoisha )
Mkuu nimekuelewa, labda kiswahili tonatofautiana, mods wataangalia ni upi usahihiBadilisha heading ieleweke vizuri, hapo una maana hiyo nyumba haitakaa iishe ( nyumba isiyoisha )
Hapana ipo mwisho wa kiwanja. Zipo mbili za hivyo hapo. Mwisho na mwisho wa kiwanja. Sehemu ya upande mwingine yenyewe inakaa mtu tangu zamani, ilimaliziwa vizuri kuna mpangaji. Kiwanja ni kikubwa ila bahati mbaya upande nusu ndio umeuzwa, imebakia hapo. Vilijengwa pande zote kulinda kiwanjaMkuu hii nyumba ulikuwa unajenga darasa?
Mimi niko mbali, hiyo picha nimempostia tu kwenye akaunti yangu. Yeye ndio kapiga, ila napajua vizuri, kumeshajengeka sana hapo. Nami nina eneo karibu na hapoMbona umeipiga picha ki woga woga ivyo
Asante sana mkuu. Pia mazungumzo kwa aliyeserious yanapokelewaUtapata mteja,usikate tamaa
Huyu anakuzingua unasema asante leta picha za ndaniKaribu sana
Sijakuelewa katika hiliHuyu anakuzingua unasema asante leta picha za ndani
mkuu hilo eneo/kiwanja limepimwa/kimepimwa funguka kimaelezo na sisi tufunguke pochi yakhe..Wakuu poleni na pilika pilika za majukumu.
Vyuma vimekaza na ada za watoto zinakaribia. Ndugu yangu anauza eneo lake ili taifa la kesho liweze kupatikana. Wajomba wanahitaji ada za kwenda shule na maandalizi ya hapa na pale.
Sifa za eneo na nyumba isiyoisha
-Size 12*28m
-Vyumba viwili katikati sebule
-Imeshaezekwa
-Eneo chanika mwishozogo ali
-Umeme upo jirani
-Kumejengeka
Mazungumzo kidogo yapo, simu 0716411720
Nawasilisha
View attachment 648588View attachment 648588
![]()
Lina hati ya serikali ya mtaamkuu hilo eneo/kiwanja limepimwa/kimepimwa funguka kimaelezo na sisi tufunguke pochi yakhe..
Dining room nayo kubwa saana kwa mwonekano wake. Jiko lake nalo si haba