Nyumba isiyoisha inauzwa 7.8m

Nyumba isiyoisha inauzwa 7.8m

bullion

JF-Expert Member
Joined
Aug 23, 2014
Posts
309
Reaction score
112
Wakuu poleni na pilika pilika za majukumu.

Vyuma vimekaza na ada za watoto zinakaribia. Ndugu yangu anauza eneo lake ili taifa la kesho liweze kupatikana. Wajomba wanahitaji ada za kwenda shule na maandalizi ya hapa na pale.

Sifa za eneo na nyumba isiyoisha
-Size 12*28m
-Vyumba viwili katikati sebule
-Imeshaezekwa
-Eneo chanika mwishozogo ali
-Umeme upo jirani
-Kumejengeka
Mazungumzo kidogo yapo, simu 0716411720
Nawasilisha

IMG-20171211-WA0000[1].jpg
IMG-20171211-WA0000[1].jpg


img-20171211-wa0001-1-jpg.648589
 

Attachments

  • IMG-20171211-WA0001[1].jpg
    IMG-20171211-WA0001[1].jpg
    59.4 KB · Views: 216

Similar Discussions

Back
Top Bottom