[emoji47] [emoji47] [emoji47] [emoji47]Mi nimependa hiyo minazi ilivyo pendeza hapo nje - Safi sanaaaa
Detail zipi ambazo hazielewekiTatizo details hazieleweki mkuu
Asante sana kwa ofa yako. Ila bado mkuu, jitahidi tenaM. 6 itapendeza
Ongeza 2.3m. Itapendeza mno.5.5m haitadhuru
Ni nani mwingine anayeiuza. Wapi umeona tangazo. Hii nyumba sio yangu na hata mwazo nimeeleza ni ya ndugu yangu. Bei yake ndio hiyo ila mazungumzo yanaruhusiwa kwa atakayekuwa interested nayoMadalali mnakera sana. Hii nyumba wengine wanaiuza 6m, 6.8 na wengine 7.8 sasa ndo biashara gan? Mnataka super profit?