mwehu ndama
JF-Expert Member
- Nov 12, 2019
- 2,076
- 7,797
hii nyumba nailipia mil 255 sababu imesimama kinoma, ndani ina Tanki la lita 5000 la bia , yaani TBL hua wanalijaza Kila mwezi , afu mabomba ya maji yanatoa maji ya upako ya mwamposa..hii siiachi!