Nyumba Inauzwa Goba Lilian Kibo

Nyumba Inauzwa Goba Lilian Kibo

radhiya

JF-Expert Member
Joined
Aug 19, 2015
Posts
508
Reaction score
401
Nyumba inauzwa Goba, Dar es Salaam.
Mahali: Lilian Kibo kwa Mwakifulefule.

Sifa za Nyumba:
*Nyumba haijakamilika, imefikia kwenye hatua ya umaliziaji.
*Iko mita chache kutoka barabara ya Goba.
*Iko upande wa kushoto ukitokea mbezi beach, na upande wa kulia ukitokea mbezi stendi ya Magufuli.
*Ina vyumba vitatu vya kulala, chumba kimoja ni master, sebule, jiko na choo cha ndani.
*Ina nafasi iliyobaki nje.
*Ina umeme na maji.

Ukubwa wa Eneo: SQM 500.
Bei: Tzs Milioni 85.
Nyaraka: Hati ya mauziano ya serikali ya mtaa.

Gharama ya kwenda kuona Eneo itahusika.
Mawasiliano: 0784 829565, 0767 833345, 0627 605807
@prathrealestate
 

Attachments

  • d5a8d777-7ff4-4dcc-a9a7-cf5629d417f0_0_watermark.jpeg
    d5a8d777-7ff4-4dcc-a9a7-cf5629d417f0_0_watermark.jpeg
    159 KB · Views: 1
Nyumba inauzwa Goba, Dar es Salaam.
Mahali: Lilian Kibo kwa Mwakifulefule.

Sifa za Nyumba:
*Nyumba haijakamilika, imefikia kwenye hatua ya umaliziaji.
*Iko mita chache kutoka barabara ya Goba.
*Iko upande wa kushoto ukitokea mbezi beach, na upande wa kulia ukitokea mbezi stendi ya Magufuli.
*Ina vyumba vitatu vya kulala, chumba kimoja ni master, sebule, jiko na choo cha ndani.
*Ina nafasi iliyobaki nje.
*Ina umeme na maji.

Ukubwa wa Eneo: SQM 500.
Bei: Tzs Milioni 85.
Nyaraka: Hati ya mauziano ya serikali ya mtaa.

Gharama ya kwenda kuona Eneo itahusika.
Mawasiliano: 0784 829565, 0767 833345, 0627 605807
@prathrealestate

Hivi haya maeneo ya Parokia ya Mt Bikira Maria Imakulata ni Goba pale au Mbezi?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom