Pangodotcom
Member
- Apr 16, 2020
- 11
- 3
Kodi yangu ya maika 3, mtu analipa kwa mwezi.Daah kodi milion 6,300,000
Mtu ana salary ya us dolla 3000 kwa wiki hiyo kwake si cha mtoto.Daah kodi milion 6,300,000
Tuishi mzeeMtu ana salary ya us dolla 3000 kwa wiki hiyo kwake si cha mtoto.
HahahaKodi yangu ya maika 3, mtu analipa kwa mwezi.
Kweli hatufanani kama vidole vya mikono.
Mleta post huyu Mkuu asikilizwe hebu muwekee picha kubwa.Vijana, tusaidieni sie wazee! Nimejaribu kutafuta picha ya nyumba yenyewe lakini nimeshindwa kuiona kutokana na macho ya kizee haya! Sasa nyumba yenyewe ni ipi kwenye hiyo mistatiri mistatiri?
🤣🤣🤣🤣Kodi yangu ya maika 3, mtu analipa kwa mwezi.
Kweli hatufanani kama vidole vya mikono.
Wakati wenzio wanapiga mishe we upo bize na madanga. Ona sasaKodi yangu ya maika 3, mtu analipa kwa mwezi.
Kweli hatufanani kama vidole vya mikono.
Ninatafuta pesa lakini bado sijafika level za kulipa 6M kwa mwezi. Lakini mtu kama wewe nina uwezo wa kukulisha mwezi mzima.Wakati wenzio wanapiga mishe we upo bize na mademu. Ona sasa
haya sasa kimenukaNinatafuta pesa lakini bado sijafika level za kulipa 6M kwa mwezi. Lakini mtu kama wewe nina uwezo wa kukulisha mwezi mzima.
Pesa za kudanga nazo pesa? Msalimie James DeliciousNinatafuta pesa lakini bado sijafika level za kulipa 6M kwa mwezi. Lakini mtu kama wewe nina uwezo wa kukulisha mwezi mzima.
Akiwazacho mtu ndicho kinachomtoka.Pesa za kudanga nazo pesa? Msalimie James Delicious
Jitahidi ujitosheleze kwanza wewe kwa chakula ndo uwaze hata kukusanya kodi ya chumba Tandale kata ya MkundugeAkiwazacho mtu ndicho kinachomtoka.
Njoo nikulishe kazi yako itakuwa kujitazama kwenye kioo tu.
Mkuu acha kutumia maneno kama madanga hizo ni swag za kike.Jitahidi ujitosheleze kwanza wewe ndo uwaze hata kukusanya kodi ya Nyumba Tandale kata ya Mkunduge
Mtoa mada nadhani Ni denti anajiandikia tu. Hana clue nabei za mtaaniTOO EXPENSIVE SI KWA AWAMU HII MKUU....SEE THE MARKET PRICES FIRST
Endelea kudanga upate kodiMkuu acha kutumia maneno kama madanga hizo ni swag za kike.
Halafu ID yako ni softG huuh?
Okay@softG endelea kuwa soft
Ila kama wewe ni Ke basi vizuri zaidi.
Naomba tuwasiliane nikupe picha mzee wanguVijana, tusaidieni sie wazee! Nimejaribu kutafuta picha ya nyumba yenyewe lakini nimeshindwa kuiona kutokana na macho ya kizee haya! Sasa nyumba yenyewe ni ipi kwenye hiyo mistatiri mistatiri?