Nyumba inapangishwa-kibaha mjini

Nyumba inapangishwa-kibaha mjini

Original Pastor

JF-Expert Member
Joined
Nov 14, 2007
Posts
1,274
Reaction score
52
Wana JF jamaa yangu amenipa taarifa kuwa Ujenzi wake wa nyumba ya vyumba nane imekamilika kwa anayetaka kupanga
Nyumba hii ina
1-Maji
2-Umeme
3-Tank la kuifadhia maji
4-Choo cha kisasa viwili cha kukaa na kuchuchumaa vya nje
5-Bafu mbili za kisasa za nje
6- Jiko la nje
7-Ina face
8-Ina line za TTCL

Nyumba hii ni NDefu kwenda kwa juu hii ni kwa ajili kama wakati wa joto lisikuathiri kozi 10 lita kozi 4.

Inafaaa kwa: Kupanga mtu mmoja mmoja, Gest, Hostel, Au Kuishi familia wahi haraka vyumba


Wishes
piga simu kwa ustadhi-0713762661 uweke booking mapema
 
Wana JF wenzangu Heshima Mbele

Weka bei mkuu..

Napenda kuwaambia bei ya vyumba kama ifuatavyo
Kila chumba Tshs 45000/= ya chini Tshs 35000/= kodi mapatano mwaka au miezi sita kwa Nyumba Nzima Tshs 220,000/= kwa Mwezi.

Karibuni ni nyumba ya kisasa ya kuapnga karibuni mje mtathimini hapa kweli tupu.

Shirika,Mtu Binasfi na Wenye Shule wanaotaka Hostel tuwasiliane nimetoa namba
 
Wakuu Hamna wateja au kila mtu ameshajenga nyumba yake????????????
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom