Nyumba Inapangishwa Dodoma.

Nyumba Inapangishwa Dodoma.

Msiri

Senior Member
Joined
Jan 10, 2010
Posts
124
Reaction score
100
Mahali ilipo: Area C karibu na barabara ya kwenda Arusha.
Aina: Ex-NHC vyumba viwili vya kulala, sebule, jiko na bafu/choo.
Kodi: Shs 200,000 kwa mwezi miezi sita sita au Shs 180,000 kwa mwezi mwaka mzima.
Kipindi: Kuanza mwezi wa tano.

Piga simu, tuma ujumbe kwa namba hii 0717-168889
 
Back
Top Bottom