Nyumba inapangishwa 150,000

Nyumba inapangishwa 150,000

golden pride

JF-Expert Member
Joined
Oct 24, 2014
Posts
847
Reaction score
435
Wakuu habari za wakati huu,


Kuna nyumba napangisha maeneo ya mbezi msakuzi, njia ya kwenda mpigi magohe.

Nyumba ina sifa zifuatazo
-Vyumba vitatu, kimoja master
-Public toilet
-Gypsum board
-Tiles za ukweli
-Sitting room
-Jiko
-Dinning
-Umeme bado upo kwenye maandalizi
-Aluminium safi kwenye madirisha
-Ukuta upo kwenye maendelezo
-Choo cha nje.

Unaruhusiwa kuja kuiona, na maelewano mengine yapo.Kuhusu namba za simu njoo pm
 
Samahani sina uenyeji maeneo hayo, kutoka hapo nyumba ilipo kuna umbali gani mpaka mbezi stand na kuna usafiri gani wakunifikisha huko
 
Wakuu habari za wakati huu,


Kuna nyumba napangisha maeneo ya mbezi msakuzi, njia ya kwenda mpigi magohe.

Nyumba ina sifa zifuatazo
-Vyumba vitatu, kimoja master
-Public toilet
-Gypsum board
-Tiles za ukweli
-Sitting room
-Jiko
-Dinning
-Umeme bado upo kwenye maandalizi
-Aluminium safi kwenye madirisha
-Ukuta upo kwenye maendelezo
-Choo cha nje.

Unaruhusiwa kuja kuiona, na maelewano mengine yapo.Kuhusu namba za simu njoo pm
Weka picha
 
Samahani sina uenyeji maeneo hayo, kutoka hapo nyumba ilipo kuna umbali gani mpaka mbezi stand na kuna usafiri gani wakunifikisha huko
Usafiri upo wa basi kubwa zile kama uda. Usafiri upo mpaka saa sita usiku. Sijawahi kufatilia kuhusu umbali,ila ni kama nusu saa mpaka mbezi mwisho. Kabla hata hujafika, waeza enda mbezimwisho kuona usafiri wake, na unaweza kuuliza makonda ni mda gani ili ndio uamue kuja kuiona
 
Wakuu habari za wakati huu,


Kuna nyumba napangisha maeneo ya mbezi msakuzi, njia ya kwenda mpigi magohe.

Nyumba ina sifa zifuatazo
-Vyumba vitatu, kimoja master
-Public toilet
-Gypsum board
-Tiles za ukweli
-Sitting room
-Jiko
-Dinning
-Umeme bado upo kwenye maandalizi
-Aluminium safi kwenye madirisha
-Ukuta upo kwenye maendelezo
-Choo cha nje.

Unaruhusiwa kuja kuiona, na maelewano mengine yapo.Kuhusu namba za simu njoo pm
nipm namba
 
Mkuu sijaweka picha maana kuna kazi zinamaliziwa wiki hii inayoanza kesho, ila ukitaka njoo uione na uone umaliziaji wake wikii hii
Basi malizia hizo kazi kwanza alafu ndo uje kutangaza. Lakini usisahau picha.
 
Samahani sina uenyeji maeneo hayo, kutoka hapo nyumba ilipo kuna umbali gani mpaka mbezi stand na kuna usafiri gani wakunifikisha huko
Mkuu vp umeshanipata. Nipo site saivi karibu uje uione
 
Usafiri upo wa basi kubwa zile kama uda. Usafiri upo mpaka saa sita usiku. Sijawahi kufatilia kuhusu umbali,ila ni kama nusu saa mpaka mbezi mwisho. Kabla hata hujafika, waeza enda mbezimwisho kuona usafiri wake, na unaweza kuuliza makonda ni mda gani ili ndio uamue kuja kuiona

Aseehh iyo nyumba inafaa sana kwa loners kama sisi,..
 
Kama hujamaliza sasa unaipangishaje?
We jamaa umeshindwa kuelewa na hili.Hivi hujaja hata kuona nyumba, utahamiaje. Nimekuambia mpaka ijumaa kila kitu kitakuwa kimeisha. Nimefanya hivi maana sina mda mrefu naondoka.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom