steven matiko
New Member
- Sep 19, 2016
- 3
- 0
Mpango wa umeme ukoje
Acha dharau mkuuNyumba bado ipo
Great thinkers ndio watu gani au malaika. Jenga yako upange bei[/QUOTE][QUOTEyO SANTANA, post: 21972386, member: 295354"]Hebu jamani tuweni makini basi.
Yani great thinkers unawaambia nyumba isiyo na umeme na maji laki 1!!!!!
Kweli kwenye msafara wa mamba kenge hawakosi.
Hiyo siyo nyumba ni sehemu ya kujificha.
Wanazingua tuu,mimi niko Mbez kwa Msuguli maji ni ya kununua january had january itakuwa mpiji?wanajibanza kwenye mbavu za dog Sinza,kinondoni,mwananyamara na kwa mfuga dogi halafu wanaulizia maji,mpfyuuuuuNimeamini watu wengi hawaijui dar kuhusu swala la maji
Kama vipi niuzie mkuu umeme nitaweka mwenyewe
Bora nikuhonge kuliko kuuza sina kawaida hiyo
hahahahahahahahahahahahahahahahahaahahNihonge mie
Hizi ni zaidi ya dharau masikini masanja mchunga ngombe utakuta ata kibanda cha matope huna hahaHiyo siyo nyumba ni sehemu ya kujificha.
Acheni ubishooo kwani vijijin kwenu mnaishi vipi au mmekuja mjini mnasahau mlikotokea? By the way kuna solar waweza kufunga ukawa na mwangamaisha ya kisasa bila umeme ni magumu sana..
jitahid uweke umeme mkuuu utapata mteja fasta..
bila umeme kuipangisha kazi sana
Mkuu sio kwamba hela ya kuweka umeme sina Bali mchakato unachukua muda. Mara nyingi sipo dar na sina mtu aliyepo idle wa kufuatilia. Ila tayari surveyor amefika; ndani ya muda mfupi unaingiaNingekuwa naishi maeneo karibu na huko ningeichukua na umeme ningetia mimi tukaja katana kwenye kodi...wasikukatishe tamaa hiyo nyumba ni nzuri na ni sahihi kabisa kuipangisha kwa bei hiyo au zaidi.
Tayari mchakato umeanza muda mfupi unaingiasteven mjmeanpost: 22071239 said:Mpango wa umeme ukoje
Inabid uende pale Tanesco umtafute fundi incharge unamtia pesa kidogo tuu hata lak haifik wanaingiza umeme.Mkuu sio kwamba hela ya kuweka umeme sina Bali mchakato unachukua muda. Mara nyingi sipo dar na sina mtu aliyepo idle wa kufuatilia. Ila tayari surveyor amefika; ndani ya muda mfupi unaingia
Hizi ni zaidi ya dharau masikini masanja mchunga ngombe utakuta ata kibanda cha matope huna haha
We jamaa una matatizo makubwaMkuu umejuaje aisee? hahahaha