Nyumba inahitajika kununuliwa Goba

Kitomai

JF-Expert Member
May 21, 2009
1,072
304
Iwe vyumba yenye vyumba vya kulala visivyopungua vitatu, iwe imejengwa katika kiwanja ambacho kimepimwa na kina hati miliki, bei yake isizidi tshs100mil. Natarajia kupigiwa simu na mmiliki wa nyumba na si vinginevyo. Kama unayo tuwasiliane kwa namba hii ya simu sms whatsapp au kupiga 0784225000.
 
Iwe vyumba yenye vyumba vya kulala visivyopungua vitatu, iwe imejengwa katika kiwanja ambacho kimepimwa na kina hati miliki, bei yake isizidi tshs100mil. Natarajia kupigiwa simu na mmiliki wa nyumba na si vinginevyo. Kama unayo tuwasiliane kwa namba hii ya simu sms whatsapp au kupiga 0784225000.
Dah mkuu mimi sio mmiliki so sitapiga, ila nina jirani yangu hapa mwenge anauza nyumba yake iko goba nikimuona nitamstua, Ila kama unaweza kupanda dau nauza yangu hapa Mwenge DSM, bei ni 350M maongezi yapo,.. Note hii ya Mwenge ni yangu.
 
?
Iwe vyumba yenye vyumba vya kulala visivyopungua vitatu, iwe imejengwa katika kiwanja ambacho kimepimwa na kina hati miliki, bei yake isizidi tshs100mil. Natarajia kupigiwa simu na mmiliki wa nyumba na si vinginevyo. Kama unayo tuwasiliane kwa namba hii ya simu sms whatsapp au kupiga 0784225000.
 
mkuu kuna moja ipo rangi tatu mbagala ni ya kisasa kabisa, bei 150M maongezi yapo, ninaposema ni ya kisasa ni ya kisasa kweli, imepimwa na ina hati nichek kwa 0713415537 nikutumie picha kwa whatsApp
 
mkuu kuna moja ipo rangi tatu mbagala ni ya kisasa kabisa, bei 150M maongezi yapo, ninaposema ni ya kisasa ni ya kisasa kweli, imepimwa na ina hati nichek kwa 0713415537 nikutumie picha kwa whatsApp
Umeelewa tangazo lake lakini?anataka nyumba iliyopo maeneo ya goba!
 
mkuu kuna moja ipo rangi tatu mbagala ni ya kisasa kabisa, bei 150M maongezi yapo, ninaposema ni ya kisasa ni ya kisasa kweli, imepimwa na ina hati nichek kwa 0713415537 nikutumie picha kwa whatsApp
Umeelewa tangazo lake lakini?anataka nyumba iliyopo maeneo ya goba!
 
Iwe vyumba yenye vyumba vya kulala visivyopungua vitatu, iwe imejengwa katika kiwanja ambacho kimepimwa na kina hati miliki, bei yake isizidi tshs100mil. Natarajia kupigiwa simu na mmiliki wa nyumba na si vinginevyo. Kama unayo tuwasiliane kwa namba hii ya simu sms whatsapp au kupiga 0784225000.
Mkuu kwema?
Nami natafuta nyumba of same specifications (Goba, <100Mil, 3bed rooms, kumepimwa), so simu zikiwa kwako nyingi please nipunguzie zingine pleass. Please take this serious, last time ile ya kipindi kile niliikosa ukampa mwengine alietoa advance
 
Wanao tafuta nyumba nzuuuri za kisasa maeneo ya kuanzia tegeta, ununio beach, boko, bunju. Nitafuteni kwa namba 0712464777. ila mimi ni dalali na nina vitu vya ukweli sio mabanda ya kufugia mbuzi
 
Dah mkuu mimi sio mmiliki so sitapiga, ila nina jirani yangu hapa mwenge anauza nyumba yake iko goba nikimuona nitamstua, Ila kama unaweza kupanda dau nauza yangu hapa Mwenge DSM, bei ni 350M maongezi yapo,.. Note hii ya Mwenge ni yangu.
Mwenge sehem gani mkuu, na kama utaweza weka na picha ya nyumba kabisa.
 
Back
Top Bottom