kichakaa man
JF-Expert Member
- Oct 20, 2011
- 5,479
- 5,068
Mimi sijapanic unaongea vitu vingine as if hujaenda shule tumekujibu tenda ilitangazwa washindani wa Azam walishindwa na mkataba ilikuwa ni kipindi cha miaka 10 sio kuwa azam watu waliamua. Tujifunzee kuangalia mbali cha pili kiuchumi huyu azam ni mzawa na pesa Nyingi ka invest in our country na Chachu ya dau lake ataleta mageuzi makubwa kwenye soka nchi hiiOkay, share hapa ilipotangazwa.
Hoja ya pili, contract duration na value for money unaizungumziaje, tunajadili Chief acha kupanic huenda ukajifunza kitu in the process
Next Time inatakiwa ufikili kitu kwa upana zaid