Nyuki kwa Maendeleo

Mar 6, 2019
42
21
c2521bfee169c226099b9168e0b93ff0_XL.jpg
download.png
 
Duuh aisee.....kila mtu na ujuzi wake
Hivyo nafsi zubavu.
Kilimo cha nyuki kina faida sana, kinasaidia kuimarisha na kuongeza mazao kwa kusaidia katika kuchavusha na kurutubisha mbegu za mimea yaani pollination, na kingine kufuga kwa ajili ya asali, nta, maziwa ya nyuki, gundi ya nyuki ama mkate wa nyuki bila kusahau sumu ya nyuki.
 
Back
Top Bottom