Nyuki kichakani

Mshume Kiyate

JF-Expert Member
Joined
Feb 27, 2011
Posts
6,764
Reaction score
908
Jamaa mmoja alikuwa anakojoa kichakani, nyuki akamng'ata kwenye kichwa cha uume. alipofika nyumbani kwake akamwbia mkewe, mkewe akawa anamtoa mwiba, huku akisali kimoyo moyo "Mungu naomba muondolee maumivu mume wangu, ila Uume wake ubaki saizi hii hii
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…