Nyota ya Mwigulu Yazidi Kung'ara!

Nyota ya Mwigulu Yazidi Kung'ara!

MAFILILI

JF-Expert Member
Joined
Apr 28, 2011
Posts
2,377
Reaction score
1,200
Kikao cha Bunge la Bajeti kikiwa kinaendelea siyo siri tena, mbunge anazungumzwa sana nje ya bunge maeneo yote ya viunga vya bunge mjini Dodoma na mitaani, pia katika vyombo vya habari ni jina la MWIGULU, ni shupavu, mwerevu, jasiri aliye na weredi wa kupangua hoja za wapinzania pasipo kupepesa macho.

Mwigulu ni hazina ya CCM na taifa la Tanzania kwa ujumla na yuko tayari kutetea maslahi ya nchi pasipo kuangalia udini wala ukabila. Mwigulu amekuwa ni mwiba mkali wa wabunge wa upinzania ambao walizoea kutoa kejeli kwa CCM na serikali yake; JIBU limepatikana dawa ya CDM ndani ya BUNGE ni MWIGULU. Hoja zake zimekuwa ni kufungua kaburi la kuizika CDM! Hongera Mwigulu Usirudi nyuma, tunakupongeza, Unaandaliwa mapokezi makubwa kuanzia MANYONI hadi Iramba kutokana na hoja zako zilizogeuka mwiba kwa CHADEMA
 
Labda kama hilo bunge unaangalia peke yako... Kwa kazi gani aliyofanya? Kwa hoja zipi alizotoa bungeni? Kazi ya mbunge ni kuisimamia serikali, tumuandilie mapokezi kwa kuiponda CDM? Huo utakua ni upuuzi wa mwaka.
 
Kikao cha Bunge la Bajeti kikiwa kinaendelea siyo siri tena, mbunge anazungumzwa sana nje ya bunge maeneo yote ya viunga vya bunge mjini Dodoma na mitaani, pia katika vyombo vya habari ni jina la MWIGULU, ni shupavu, mwerevu, jasiri aliye na weredi wa kupangua hoja za wapinzania pasipo kupepesa macho.

Mwigulu ni hazina ya CCM na taifa la Tanzania kwa ujumla na yuko tayari kutetea maslahi ya nchi pasipo kuangalia udini wala ukabila. Mwigulu amekuwa ni mwiba mkali wa wabunge wa upinzania ambao walizoea kutoa kejeli kwa CCM na serikali yake; JIBU limepatikana dawa ya CDM ndani ya BUNGE ni MWIGULU. Hoja zake zimekuwa ni kufungua kaburi la kuizika CDM! Hongera Mwigulu Usirudi nyuma, tunakupongeza, Unaandaliwa mapokezi makubwa kuanzia MANYONI hadi Iramba kutokana na hoja zako zilizogeuka mwiba kwa CHADEMA
Halafu unajua kuwa HUYU MCHAWI ni kuwa sasa uchawi unamng'arisha na amefikia mwisho.
Hili ni GAIDI linalozua UGAIDI na kuweka watu ndani bila matatizo wala sababu. MWIGULU NI MCHAWI NA GAIDI full stop.
Aibu kumwita 'shupavu'
 
Kumbe wabunge wazuri ni wale wanaopangua hoja za upinzani hata kama zina mantiki na sio wanaotetea maslah ya watanzania...kama hapa ndo ilipofikia serikali ya ccm basi watanzania tuhesabu maumivu.Focus imehamia kwa wapinzani na sio watanzania
 
uyu ni kuadi tu wa balali bot bank of tanzania inasemekana alilawitiwa na balali nashangaa bunge letu wamelusu mashogo bungeni na iramba kumchagua shoga
 
Kikao cha Bunge la Bajeti kikiwa kinaendelea siyo siri tena, mbunge anazungumzwa sana nje ya bunge maeneo yote ya viunga vya bunge mjini Dodoma na mitaani, pia katika vyombo vya habari ni jina la MWIGULU, ni shupavu, mwerevu, jasiri aliye na weredi wa kupangua hoja za wapinzania pasipo kupepesa macho.

Mwigulu ni hazina ya CCM na taifa la Tanzania kwa ujumla na yuko tayari kutetea maslahi ya nchi pasipo kuangalia udini wala ukabila. Mwigulu amekuwa ni mwiba mkali wa wabunge wa upinzania ambao walizoea kutoa kejeli kwa CCM na serikali yake; JIBU limepatikana dawa ya CDM ndani ya BUNGE ni MWIGULU. Hoja zake zimekuwa ni kufungua kaburi la kuizika CDM! Hongera Mwigulu Usirudi nyuma, tunakupongeza, Unaandaliwa mapokezi makubwa kuanzia MANYONI hadi Iramba kutokana na hoja zako zilizogeuka mwiba kwa CHADEMA



hujielewi wewe; kejeli ya mwigulu zimekuwa lini hoja za kuwabana CHADEMA?
 
Mh. Mwigulu ndiye dawa ya CHADEMA. Kazi anayoifanya output yake inaonekana.

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
Kikao cha Bunge la Bajeti kikiwa kinaendelea siyo siri tena, mbunge anazungumzwa sana nje ya bunge maeneo yote ya viunga vya bunge mjini Dodoma na mitaani, pia katika vyombo vya habari ni jina la MWIGULU, ni shupavu, mwerevu, jasiri aliye na weredi wa kupangua hoja za wapinzania pasipo kupepesa macho.

Mwigulu ni hazina ya CCM na taifa la Tanzania kwa ujumla na yuko tayari kutetea maslahi ya nchi pasipo kuangalia udini wala ukabila. Mwigulu amekuwa ni mwiba mkali wa wabunge wa upinzania ambao walizoea kutoa kejeli kwa CCM na serikali yake; JIBU limepatikana dawa ya CDM ndani ya BUNGE ni MWIGULU. Hoja zake zimekuwa ni kufungua kaburi la kuizika CDM! Hongera Mwigulu Usirudi nyuma, tunakupongeza, Unaandaliwa mapokezi makubwa kuanzia MANYONI hadi Iramba kutokana na hoja zako zilizogeuka mwiba kwa CHADEMA
Endelea kutumika kama condom mdogo wangu..! Siyo kosa lako ni kosa la wazazi wako waliokufanya uwe mchumia tumbo..!
 
Siku za hivi karibuni haiwezi kupita siku nzima bila ya thread inayomzungumzia Mh. Mwigulu.

Mh. Mwigulu amewafanya waanze kumsahau babu yao.

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
Kikao cha Bunge la Bajeti kikiwa kinaendelea siyo siri tena, mbunge anazungumzwa sana nje ya bunge maeneo yote ya viunga vya bunge mjini Dodoma na mitaani, pia katika vyombo vya habari ni jina la MWIGULU, ni shupavu, mwerevu, jasiri aliye na weredi wa kupangua hoja za wapinzania pasipo kupepesa macho.

Mwigulu ni hazina ya CCM na taifa la Tanzania kwa ujumla na yuko tayari kutetea maslahi ya nchi pasipo kuangalia udini wala ukabila. Mwigulu amekuwa ni mwiba mkali wa wabunge wa upinzania ambao walizoea kutoa kejeli kwa CCM na serikali yake; JIBU limepatikana dawa ya CDM ndani ya BUNGE ni MWIGULU. Hoja zake zimekuwa ni kufungua kaburi la kuizika CDM! Hongera Mwigulu Usirudi nyuma, tunakupongeza, Unaandaliwa mapokezi makubwa kuanzia MANYONI hadi Iramba kutokana na hoja zako zilizogeuka mwiba kwa CHADEMA
Mh! Kweli wewe ni Great sinker...
 
Inabidi serikali impe ulinzi maana idara ya rwakatale asipoangalia itamfanyizia
 
Inabidi tutafakari upya viongozi wa vyama kuwa wabunge. Wenyeviti, Makatibu nk. Wanatumia muda mwingi kujadili na kuvitetea vyama vyao..!! Bunge ni kwa ajili ya watanzania wote hata wale wasiokuwa na vyama! Katiba mpya itatusaidia!
 
uyu ni kuadi tu wa balali
bot bank of tanzania inasemekana alilawitiwa na balali nashangaa bunge
letu wamelusu mashogo bungeni na iramba kumchagua shoga

Ndio maana akili yake ipo vilee...
 
Tatizo tunalumbana hata bila kujua tunalumbana na mtu mwenye upeo upi. Bunge si sehemu ya kwenda kwa ajili ya kupangua au kujibu hoja za wapinzani ni sehemu ya kuweka mazingira ya wananchi kuongeza tija ikiwa ni pamoja na kutunga sheria zinazoleta usawa na amani. Hakuna siku nimemsikia huyo kijana akiongea mikakati yoyote ya kutatua matatizo ya kiuchumi, kisiasa wala kijamii yanayowakabili watanzania. Pengine naona mtoa hoja anamkejeli tu, kuwa kichaa kunahitaji ujasiri na ushupavu kama unafikiri siyo jaribu kujifanya kichaa
 
Kikao cha Bunge la Bajeti kikiwa kinaendelea siyo siri tena, mbunge anazungumzwa sana nje ya bunge maeneo yote ya viunga vya bunge mjini Dodoma na mitaani, pia katika vyombo vya habari ni jina la MWIGULU, ni shupavu, mwerevu, jasiri aliye na weredi wa kupangua hoja za wapinzania pasipo kupepesa macho.

Mwigulu ni hazina ya CCM na taifa la Tanzania kwa ujumla na yuko tayari kutetea maslahi ya nchi pasipo kuangalia udini wala ukabila. Mwigulu amekuwa ni mwiba mkali wa wabunge wa upinzania ambao walizoea kutoa kejeli kwa CCM na serikali yake; JIBU limepatikana dawa ya CDM ndani ya BUNGE ni MWIGULU. Hoja zake zimekuwa ni kufungua kaburi la kuizika CDM! Hongera Mwigulu Usirudi nyuma, tunakupongeza, Unaandaliwa mapokezi makubwa kuanzia MANYONI hadi Iramba kutokana na hoja zako zilizogeuka mwiba kwa CHADEMA

Huwa najiuliza watu kama wewe inakuwaje wanaishabikia CCM??? Hivi kweli hawayaoni mabaya ya CCM, hivi kweli watu kama hawa ni vipofu?? Hainijii akilini kuona kwamba watu kama wewe wanaridhika na mambo yanayofanywa na viongozi wa nchi hii. Hivi kweli hawaoni rasilimali zetu zinavyochukuliwa?? Twiga wanavyosafirishwa, dhahabu inavyotoroshwa, Fedha zinavyoibiwa, EPA,Richmond, mabilioni ya Uswiss, Dowans, na mengine mengi mengi mengi. Inakuwa vipi pamoja na yote haya bado mtu anaitetea ccm???? Tuje kwenye thread yako kama unamwona Mwigulu ni mwiba kwa CDM basi huijui Chadema. Lakini labda nisishangae sana, CCM mie naiona imeoza kwa hiyo watu kama wewe nao wameoza kifikra!
 
Mh. Mwigulu ndiye dawa ya CHADEMA. Kazi anayoifanya output yake inaonekana.

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums

Shonja na Mwampamba wameshakwisha muda wao.????
 
Back
Top Bottom