kakakuona40
JF-Expert Member
- Oct 3, 2011
- 300
- 52
Jana tulipewa taarifa humu na wanajami kuwa Nyoni ameachishwa kazi, taarifa zile ni za upotoshaji kabisa kilichotokea ni kuwa amepewa likizo ya lazima kupisha uchunguzi, na kama iliyozoeleka na tanzania yetu hii Uchunguzi waweza kuwa positive au negative ikiwa tuhuma dhidi yalke zitashindwa kuthibitika ina maana kuwa dada yetu ataendelea kupeta katika wizara.
Pia nimepitia magazeti na taarifa mbali mbali sijaona tuhuma dhahiri dhidi ya Mponda labda mnisaidie wana JF, watu lazima walete mifano na uthibitisho hata wa tuhuma moja ambayo mh. Mponda anayo. Mwacheni apige kazi mweshimiwa.
Pia nimepitia magazeti na taarifa mbali mbali sijaona tuhuma dhahiri dhidi ya Mponda labda mnisaidie wana JF, watu lazima walete mifano na uthibitisho hata wa tuhuma moja ambayo mh. Mponda anayo. Mwacheni apige kazi mweshimiwa.