EINSTEIN112
JF-Expert Member
- Oct 26, 2018
- 21,713
- 35,525
- Thread starter
- #121
acha jamaa haya mambo yamenipa mawazo sanaKikubwa ni vibe
acha jamaa haya mambo yamenipa mawazo sanaKikubwa ni vibe
Zipigwe Tena kwa sanàà!
Tena ingependeza iwe kama kuna sehemu kule Moshi ikifikia muda ule Malaika Gabriel Alipo Mpa Habari Maria Kumzaa Yesu!
Kengele Ikigonga vilabuni wanywaji wanaachia kunywa, na kusimama na mmojawapo kuanza wimbo sala wa!; Malaika Gabriel Akampasha Habari Bikira Maria....
INGEPENDEZA
Walioenda baa nao wana akili kama zako..walipofika walishangaa uwingi wa watu ukiwamo wewe kwenda baa bila kujali korona.
hizo ngoma hadi kwa Madiba wanazijua????Kuna siku nilijichanganya club moja hapo mabonenng Johannesburg wakaweka nyimbo za dini mbili mfululizo tena wanaziimba bila hata kuelewa maana yake mwimbo wa " hakuna Mungu kama wewe" na nimeuona mkono wa bwana...nilifarijika sana ingawaje niliusikiliza sehemu sio..
HujaiQUOTE hio post tutaijuaje??Hii post imejibu mada yote. Uzi ufungwe
sawa mkuuAcha Mungu atukuzwe wewe!!
Ngoja niitafuteHujaiQUOTE hio post tutaijuaje??
ilipigwa moja na video yakeWanazionea nyimbo za injili ila kama wana jeuri na wanajiamini wapige nyimbo za kaswida waone shoo yake.
Mkuu na hii pia imepigwa Dj akawa sometimes anaMUTE sauti raia wanaenda nayo fresh tu
Hii Jana imepigwa mahali ikaamsha vibe ni balaa
unatingisha kichwa ukiwa umekaaKaswida unacheZaje sasa?
Mungu kawa msela??hii inamaanisha Mungu kawa msela,tumechelewa sana wenzetu wa Afrika ya Kusini wameyaanza haya zamani sana!
Nalog off
Duh, acha na waliopotoka wapate Neno popote walipoPale polisi kurasini daily ilikuwa inapigwa 'ipo siku yangu tu' alafu muda huo huo saa tatu saa nne hivi
Pamoja sana mkuu ngoja tuhubiriwe kila sehemu tukumbushwe juu ya Mungu na Wokovu.Kwani samaki wanavuliwa hewani, huyo DJ yuko sahihi kabisa maana watu wa huko ndio wanahitaji ukombozi zaidi kuliko hata waliopo kanisani. Kwa maandiko yenyewe yanasema kulikua na mchungaji moja akichunga kondoo wake sasa ikatokea kondoo mmoja kapotea ikabidi awaache wale kondoo wengine ili akamtafute kondoo mmoja aliyepotea
Ngoja niitafute
🙌🙌 Tatizo sijui ni watu au dini zenyewe zinakua biased ila ukienda kwenye ukweli watu wa namna hiyo ndio wanahitaji zaidi neno la mungu kuliko waliopo makanisani na misikitiniPamoja sana mkuu ngoja tuhubiriwe kila sehemu tukumbushwe juu ya Mungu na Wokovu.
Hii post ndio iliyotoa majibu yoteBora uwe club ukumbuke kanisani kuliko kuwa kanisani kukumbuka club. DJ anawakumbusha hapo. Afu Mungu yu mahali popote
HujaiQUOTE hio post tutaijuaje??