Mtoto halali na hela
JF-Expert Member
- Aug 10, 2012
- 47,864
- 41,229
Kikubwa ni vibe
Walioenda baa nao wana akili kama zako..walipofika walishangaa uwingi wa watu ukiwamo wewe kwenda baa bila kujali korona.Leo nikasema acha nikasafishe macho club baada ya kukosa usingizi huku ugenini nikaona niende sehemu yenye kelele karibu na nilipofikia maana nazisikia.
Kufika nikaona kumekucha balaa watu wamejazana kama hakuna zuio la mikusanyiko kwa nchi nzima. Au walimaanisha mikusanyiko ya KATIBA tu???
Anyway nirudi kwenye mada nikiwa hapa club ambapo ndio naandikia uzi huu saivi, Dj anachanganya ngoma za circular na za Dini. Sasa najiuliza hii ni Sawa ? Maana naona waliopo club VIBE linazidi kila likipigwa goma la Dini.
Nakumbuka wakati naupokea mwaka huu saa5.59 pia nlikua Bar ikapigwa ngoma ya Nimeuona Mkono wako Bwana by Zablon
Halafu mwanaume unapata wapi ujasiri wa kucheza juu ya meza?? Huu ni upuuzi sana
Maoni yenu wadau
Kiufupi ulienda eneo ambalo jina lake halisi panaitwa UVULI WA MAUTILeo nikasema acha nikasafishe macho club baada ya kukosa usingizi huku ugenini nikaona niende sehemu yenye kelele karibu na nilipofikia maana nazisikia.
Kufika nikaona kumekucha balaa watu wamejazana kama hakuna zuio la mikusanyiko kwa nchi nzima. Au walimaanisha mikusanyiko ya KATIBA tu???
Anyway nirudi kwenye mada nikiwa hapa club ambapo ndio naandikia uzi huu saivi, Dj anachanganya ngoma za circular na za Dini. Sasa najiuliza hii ni Sawa ? Maana naona waliopo club VIBE linazidi kila likipigwa goma la Dini.
Nakumbuka wakati naupokea mwaka huu saa5.59 pia nlikua Bar ikapigwa ngoma ya Nimeuona Mkono wako Bwana by Zablon
Halafu mwanaume unapata wapi ujasiri wa kucheza juu ya meza?? Huu ni upuuzi sana
Maoni yenu wadau
Wanazionea nyimbo za injili ila kama wana jeuri na wanajiamini wapige nyimbo za kaswida waone shoo yake.
Kabisa mkuu hata sibishiKiufupi ulienda eneo ambalo jina lake halisi panaitwa UVULI WA MAUTI
Amina mkuu I need a turn back, please pray for meMkuu mwakampya ulikua bar leo tena umeenda unapenda sana kuwa bar hadi ukiwa ugenini hivi umesikia kilichotokea lemax bar dar? Alafu kupigwa hizo nyimbo ukute roho wa bwana anataka kusema naww
Niseme Yesu au niandike Yesu?
Imekaa Njema Sana!! Maana Bwana yesu hakuja kwa ajili ya wema bali wenye dhambi.
View attachment 1867115
Kuhusu Dj kwenda peponi tumuachie MunguYes alisema "sikuja kwaajili ya waliowema Bali wenyedhambi wapate kutubu" huyo dj ataenda pepon
acha mambo yako mkuu nlikua natania tustory za wazinzi utazijua 2
Amina mkuu umenena kweli kabisaZinapigwa kwa sababu ya ukamilifu wa unabii kwamba ni sharti injili ihubiriwe kila mahali kama ushahidi kwenu walevi ndipo ule mwisho utakuja. Mathayo 24:14.
Hakuna kitu kinachotokea bila sababu humu duniani.
Sawa MtumeKampikie mumeo chai usije ukaachika tena,usifikiri humu jf tutakusaidia tena.
Amina mkuuNendeni mkatangaze neno la Bwana.
Ni faraja kuona neno la Bwana linasikika kila pembe ya dunia
at least Djay amewakumbusha kumshukuru Mungu na kutambua kuwa yeye ndiye alfa na omega
ahsante Dj