Nyimbo za dini kupigwa club hii imekaaje?

Leo nikasema acha nikasafishe macho club baada ya kukosa usingizi huku ugenini nikaona niende sehemu yenye kelele karibu na nilipofikia maana nazisikia.

Kufika nikaona kumekucha balaa watu wamejazana kama hakuna zuio la mikusanyiko kwa nchi nzima. Au walimaanisha mikusanyiko ya KATIBA tu???


Anyway nirudi kwenye mada nikiwa hapa club ambapo ndio naandikia uzi huu saivi, Dj anachanganya ngoma za circular na za Dini. Sasa najiuliza hii ni Sawa ? Maana naona waliopo club VIBE linazidi kila likipigwa goma la Dini.

Nakumbuka wakati naupokea mwaka huu saa5.59 pia nlikua Bar ikapigwa ngoma ya Nimeuona Mkono wako Bwana by Zablon

Halafu mwanaume unapata wapi ujasiri wa kucheza juu ya meza?? Huu ni upuuzi sana

Maoni yenu wadau
Injili inahubiriwa kwa walio potea sio kwa walio okoka
 
Huo ni mkesha kama mikesha mingine wacha Mungu aabudiwe kwa style tofauti.....ila hakuna biti kali club au bar kama HAKUNA MUNGU KAMA WEWE

Everyday is Saturday................................:cool:
acha mkuu tukumbushwe kuhusu Mungu
 
Ikiwa ujumbe unawafikia huko si jambo la kheri mkuu?

Habari njema ihubiriwe kote.
 
Leo nikasema acha nikasafishe macho club baada ya kukosa usingizi huku ugenini nikaona niende sehemu yenye kelele karibu na nilipofikia maana nazisikia.

Kufika nikaona kumekucha balaa watu wamejazana kama hakuna zuio la mikusanyiko kwa nchi nzima. Au walimaanisha mikusanyiko ya KATIBA tu???


Anyway nirudi kwenye mada nikiwa hapa club ambapo ndio naandikia uzi huu saivi, Dj anachanganya ngoma za circular na za Dini. Sasa najiuliza hii ni Sawa ? Maana naona waliopo club VIBE linazidi kila likipigwa goma la Dini.

Nakumbuka wakati naupokea mwaka huu saa5.59 pia nlikua Bar ikapigwa ngoma ya Nimeuona Mkono wako Bwana by Zablon

Halafu mwanaume unapata wapi ujasiri wa kucheza juu ya meza?? Huu ni upuuzi sana

Maoni yenu wadau
Upo Mbeya eenh?
 
Leo nikasema acha nikasafishe macho club baada ya kukosa usingizi huku ugenini nikaona niende sehemu yenye kelele karibu na nilipofikia maana nazisikia.

Kufika nikaona kumekucha balaa watu wamejazana kama hakuna zuio la mikusanyiko kwa nchi nzima. Au walimaanisha mikusanyiko ya KATIBA tu???


Anyway nirudi kwenye mada nikiwa hapa club ambapo ndio naandikia uzi huu saivi, Dj anachanganya ngoma za circular na za Dini. Sasa najiuliza hii ni Sawa? Maana naona waliopo club VIBE linazidi kila likipigwa goma la Dini.

Nakumbuka wakati naupokea mwaka huu saa5.59 pia nlikua Bar ikapigwa ngoma ya Nimeuona Mkono wako Bwana by Zablon. Aisee tulishangila balaa

Halafu mwanaume unapata wapi ujasiri wa kucheza juu ya meza?? Huu ni upuuzi sana

Maoni yenu wadau
Karibu Bambalaga Mkuu
 
1.Nimeuona mkono
2.Hakuna Mungu kama wewe
3.Wewe ni mungu-Dady Owen
4.shusha Nyavu-Christina shusho
Baadhi ya ngoma watu huburudika nazo klabu
 
Hakuna furaha isio kosa mkono wa MUNGU na huzuni kadhalika, tatizo huzuni kwa mwanadamu huwa hataki kuichanganya na furaha maana hajui vyote ni vya MUNGU.
 
15 Reactions
Reply
Back
Top Bottom