Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 92,250
- 113,653
- Thread starter
- #41
A Platinum Member with such a damn rotten post!
You're lost buddah!!!
Rotten post?
Thanks for contributing to it.
A Platinum Member with such a damn rotten post!
You're lost buddah!!!
Hata me mwenyewe nashangaa Sana hawa watu wanataka niniLakini, kwani huko kwingine hakuna cha maendeleo kinachofanyika?
Sisi kama Chadema tunasema adui yetu ni raisi aliyeko madarakani wastaafu ni rafiki zetu ni "makamanda"Excuse my French and pardon my vernacular.
Nyie watu hebu acheni u$€#%¥ bana.
Mmezidi sasa. You are doing the most.
Likijengwa tawi la CRDB huko Chato....ni nongwa!
Likijengwa jengo la kawaida kabisa la mahakama huko Chato....ni nongwa!
Vikiwekwa vijitaa viwili vitatu vya kuongozea magari kwenye ki intersection kimoja kwenye barabara huko Chato....ni nongwa!
Chochote sasa hivi kifanyikacho Chato....ni nongwa!
Hebu acheni utoto bana. Kwani huko sehemu zingine hayo mambo hayafanyiki?
Huko kwingine hakuna majengo mapya ya mahakama?
Huko Ludewa hakuna hakuna barabara hata moja ya lami?
Mnavyolialia humu utadhani huko kwingine hakuna lolote linalofanyika!
Kwa mwendo huu hata mtu akifungua kamgahawa kake hapo downtown Chato mtakuja tu humu kulialia.
What a bunch of self righteous snowflakes.
Knock it off already!
Tatizo sio ujumbe, tatizo ni mtoa ujumbe. Ngabu you are better than this budaa, take your time off jf for a while maana you 've been acting too depressedMbona nikiwa namkosoa Magufuli huwa hujitokezi na kuniita mkabila?
UtopianistSisi kama Chadema tunasema adui yetu ni raisi aliyeko madarakani wastaafu ni rafiki zetu ni "makamanda"
Kupitia hili andiko nmeamini kua lugha ya kiingereza sio alama ya kuelimika nilikuwa silifahamu hilo.Excuse my French and pardon my vernacular.
Nyie watu hebu acheni u$€#%¥ bana.
Mmezidi sasa. You are doing the most.
Likijengwa tawi la CRDB huko Chato....ni nongwa!
Likijengwa jengo la kawaida kabisa la mahakama huko Chato....ni nongwa!
Vikiwekwa vijitaa viwili vitatu vya kuongozea magari kwenye ki intersection kimoja kwenye barabara huko Chato....ni nongwa!
Chochote sasa hivi kifanyikacho Chato....ni nongwa!
Hebu acheni utoto bana. Kwani huko sehemu zingine hayo mambo hayafanyiki?
Huko kwingine hakuna majengo mapya ya mahakama?
Huko Ludewa hakuna hakuna barabara hata moja ya lami?
Mnavyolialia humu utadhani huko kwingine hakuna lolote linalofanyika!
Kwa mwendo huu hata mtu akifungua kamgahawa kake hapo downtown Chato mtakuja tu humu kulialia.
What a bunch of self righteous snowflakes.
Knock it off already!
Tatizo sio ujumbe, tatizo ni mtoa ujumbe. Ngabu you are better than this budaa, take your time off jf for a while maana you 've been acting too depressed
Vipi na sisi tukikekemea upumbavu wa kupamba mavi maua kama unaoufanya tutakuwa yumekoseaSitetei Chato mimi.
Nakemea tu upumbavu wa kunung’unikia vitu vya kawaida.
Better be than being selfish and fool grown up woman who does not care about her fellow women,who walk long distance to search for water and medical servicesAnd you are a little girl.
Better be than being selfish and fool grown up woman who does not care about her fellow women
Upumbavu wako umekuweka upofu! Kijijini unaweka traffic lights kwa fedha za walipa kodi?! Huoni ni matumizi mabaya ya rasilimali za umma!!
Shithole!!
Just get lost!Ok. So?
Excuse my French and pardon my vernacular.
Nyie watu hebu acheni u$€#%¥ bana.
Mmezidi sasa. You are doing the most.
Likijengwa tawi la CRDB huko Chato....ni nongwa!
Likijengwa jengo la kawaida kabisa la mahakama huko Chato....ni nongwa!
Vikiwekwa vijitaa viwili vitatu vya kuongozea magari kwenye ki intersection kimoja kwenye barabara huko Chato....ni nongwa!
Chochote sasa hivi kifanyikacho Chato....ni nongwa!
Hebu acheni utoto bana. Kwani huko sehemu zingine hayo mambo hayafanyiki?
Huko kwingine hakuna majengo mapya ya mahakama?
Huko Ludewa hakuna hakuna barabara hata moja ya lami?
Mnavyolialia humu utadhani huko kwingine hakuna lolote linalofanyika!
Kwa mwendo huu hata mtu akifungua kamgahawa kake hapo downtown Chato mtakuja tu humu kulialia.
What a bunch of self righteous snowflakes.
Knock it off already!
Nitajie wilaya moja tu ambayo kwa kipindi cha miaka 20 iliyopita, kumejengwa:-Hebu acheni utoto bana. Kwani huko sehemu zingine hayo mambo hayafanyiki?
Hivi mji ule ambao ni makao makuu ya chama na serikali umewekewa vijitaa vya kuongozea Bodaboda na magari kama kule chato?Nenda kazing’oe basi...