Nyie wanawake maisha sio muvi tu

Nyie wanawake maisha sio muvi tu

Nyalotsi

JF-Expert Member
Joined
Jul 20, 2011
Posts
6,989
Reaction score
5,066
Unakuta mtu anataka muwe mnaishi maisha ya kuigiza ya kwenye muvi za kikorea!Tupo Africa sio korea na wale wanaigiza ili wapate hela ya kuendesha familia zao.Mambo ya kulazimisha waume zenu kuangalia muvi za kipumbavu kama zile ni upuuzi.

Unakuta mtu anataka mkae wote muangalie muvi za Kikorea ili muanze kuigiza na nyie ndani ya nyumba ukitaka kuangalia mpira hata, ukitoka kwenda kibanda umiza anachukia, sasa mi nifanyeje?Mnaboa aisee na kutaka kufundishana maisha ya maigizo!

Anyway msinimaind sana kuna mwenzenu kaniboa huku, ningekaa kimya ningemdunda mangumi!
 
Teh teh..Mkuu mwache aendelee kuangalia tu hizo..Wangu nilikuwa namletea zengwe la kuangalia hizo tamthilia basi akahamia kwenye movie za kivita,action na za kinaijeria..Now nyumba ndo imekuwa chungu zaidi
 
Ha haa pole wee!

nyie watu mnaboa kwa kweli.
inahitaji uvumilivu wa hali ya juu kumvumilia mtu anayetaka kukufundisha uishi maisha ya kwenye muvi za kikorea na wewe unatambua ni African man.
muvi zake unamwachia aangalie ila ukitaka kuangalia mpira tu, utasikia twende kulala!!
kwa hiyo mie nisiangalie hobi zangu?
 
Aiseeee......
Kweli nimeamini kila mmoja anayo namna pekee ya kupunguza sumu mwilini
 
Maisha ya muvi sio maisha halisi, ni fiction a.k.a staged events ambazo mambo mengi sana huwa assumed constant a.k.a kila kitu kubaki kama kilivyo (kutobadilika).

Ndio maana huwavutia kuangalia kwa sababu sio vitu vya kawaida kwenye real life.

Mfano eti tajiri kampenda maskini (Uliona wapi kwenye ulimwengu halisi). Tafuta hela uachane na umaskini, usiigize maisha hayo, utangoja milele uishie kupigwa bao na kutelekezwa.
 
Maisha ya muvi sio maisha halisi, ni fiction a.k.a staged events ambazo mambo mengi sana huwa assumed constant a.k.a kila kitu kubaki kama kilivyo (kutobadilika).

Ndio maana huwavutia kuangalia kwa sababu sio vitu vya kawaida kwenye real life.

Mfano eti tajiri kampenda maskini (Uliona wapi kwenye ulimwengu halisi). Tafuta hela uachane na umaskini, usiigize maisha hayo, utangoja milele uishie kupigwa bao na kutelekezwa.

mkuu tuko pamoja
 
angalia yasije kukukuta ya kwenye tangazo la continental decorder .....
 
Kwa wanawake kuangalia hizo tamthilia ni sawa tu,na kuna wanayojifunza,Pia inawakeep busy kuliko kwenda kupiga umbea mtaani au kwenda kuzurura hovyo. ILA KWA MWANAUME haipendezi...inakaa kishogashoga.

Umeona eeh.... Mie ningekua nanilia wa mleta uzi ningeshabamizwa hadi sura isijulikane ni mimi ama *** navozipenda mimi mwee naweza sahau hata kula
 
Nyalotsi

Mwanamke ni mtu dhaifu na ndo maana tumeagizwa tuishi nao kwa akili simple tu wewe kuangalio sio kwamba anataka uishi hivyo wewe mwelewe then mweleweshe kama mtazamo wake ndo huo. Jambo dogo kama hilo sio la kukufanya ununie mkeo mpe raha aone na yeye anasikilizwa hata kama unamchora coz ndo akili tumeambiwa tutumie wewe fanya akupende tu ila mipaka yako aijue
 
Last edited by a moderator:
Kazi kama Kawa wewe gangilogwa hakuna TV napiga kazi nkimaliza muvi kwa kwenda mbele

hapo fureshi!..najua gangilogwa hakuna TV si ndo mana nikakusisitiza umalize kazi kabisa,usije ukarudishwa kwenu ukabake panzi!
Afu 'praktiko' ya hizo muvi fanya tu kwa baba mwenye nyumba!
Sio kesi,kwani shn'ngp!
 
hapo fureshi!..najua gangilogwa hakuna TV si ndo mana nikakusisitiza umalize kazi kabisa,usije ukarudishwa kwenu ukabake panzi!
Afu 'praktiko' ya hizo muvi fanya tu kwa baba mwenye nyumba!
Sio kesi,kwani shn'ngp!

Sinaga hizo... Naogopa Sana mjini imenileta kazi buana nsije badilishwa jinsia na mama mwenye nyumba bure
 
heheee na wewe unavyomlazimisha kuangalia mpira je?
maisha siyo mpira tu maisha ni pesa..wale wa man u wanatengeneza pesa wewe unabaki kushangilia na kukauka koo huku hata pesa ya bia haupati.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom