figganigga
Platinum Member
- Oct 17, 2010
- 27,730
- 62,942
Mimi nawashangaa sana hawa wakina dada.siku zote wakati wa kuvua nguo hata iwe inambana vipi anaipitisha kichwani,vilevile wakati wa kuvaa wanaipitisha kichwani isipokuwa chu** tu.kwanini mnafanya hivyo?hamuwezi kubadilisha style?.ni hayo tu.
mia.
Wewe ndugu yangu, umepata wapi huo uzoefu? unataka kutuambia umewaona wengi wakivaa kupitia kichwani? Hongera!!
Cr@p :A S 103::A S 103::A S 103:
Mimi nawashangaa sana hawa wakina dada.siku zote wakati wa kuvua nguo hata iwe inambana vipi anaipitisha kichwani,vilevile wakati wa kuvaa wanaipitisha kichwani isipokuwa chu** tu.kwanini mnafanya hivyo?hamuwezi kubadilisha style?.halafu ile kitu mulioianzisha ya kuwekea matiti jeki,yaani unakuta titi saa sita hata kama ni mzee munakua na maana gani?ni hayo tu.
mia.
What is the meaning of this thread?
Mimi nawashangaa sana hawa wakina dada.siku zote wakati wa kuvua nguo hata iwe inambana vipi anaipitisha kichwani,vilevile wakati wa kuvaa wanaipitisha kichwani isipokuwa chu** tu.kwanini mnafanya hivyo?hamuwezi kubadilisha style?.halafu ile kitu mulioianzisha ya kuwekea matiti jeki,yaani unakuta titi saa sita hata kama ni mzee munakua na maana gani?ni hayo tu.
mia.