Nyie vijisichana!

Nyie vijisichana!

Nyie wasichana mnaojiita wanawake mnaponunua Simu kumbuka kuwa zinatumia vocha!kama huna hata uwezo wa kujinunulia vocha kwa matumizi yenu wenyewe mnanunua ili iweje?
Tumechoka baby baby nitumie vocha Mara MB rubbish
Mkuu unapigwa vizinga hadi kwenye vocha????😛😛😛
 
taabu inakuwa pale unaombwa vocha na wewe unaomba vocha kwa baba/mama.. tena ukidanganya umeskia matokeo ya shule yametoka na wanayarusha kwenye web ya shule!
.
.
jifunze care bwana mdogo.. huyo ni mpenzi kakuomba vocha, siku ukimwoa akakuomba hela ya kwenda kushona.. si utakuja na uzi mwingine humu..
.
.
viwanda not viwonder!
 
Ni visichana kumbe.hana kazi wala ujira wowote.unataka akamuombe mzazi wake vocha aje akutext wewe!?JIHESHIMU

Wanaume siku hizi wamekua walalamikaji kuliko ata wanawake.wazazi sasa wasemeje wanamvisha,mlisha na kulala juu,wewe unakuja kudinya tuu hata mahali hufikirii kutoa wala kumuoa.bure yaan unakula mzigo.....utam mnapata wote yes lakn wanawake sio siku zote tunaashik ya kuliwa,Kuna mda tunafanya km wajibu ama kuwaridhisha tu ama msaada.
Fala Sana wewe kijana.
sio kwa povu hili nguo namalizia kufulia
 
Mkuu hata kumnunulia mtu vocha ni issue ya kuileta jukwaani watu wajadili ? Kuwa serious basi
 
Wanaume baadae kutakuwa na kikao cha dharura hoja

"wanaume kuaibishana katika baadhi ya mambo kwa sisi wenyewe kwenye baadhi ya social media "


Nb: sitaki kumuona Nyete kwenye kikao
 
Back
Top Bottom