yaser
JF-Expert Member
- Jan 23, 2012
- 1,361
- 299
Tanesco vp jaman mbona mnatufanyia madudu sana watu wa kigamboni.umeme kila siku hamna na hatujui sababu ni nini.babra masoud kila tukimsikia ktk vyombo vya habari anadai hakuna mgao wala shida ya umeme coz vyanzo vya umeme ni vya kutosha na umeme wa kumwaga ila kigamboni hakuna umeme sasa yapata mwezi wa pila tuna tapa tapa.acheni ubabaishaji bwana.hii nchi sio yenu ni ya wote kwahiyo fanyeni mambo km ya wote na sio mnavyojiskia nyie.au basi mtueleze tatizo ni nini sio mnatuacha hatujui chochote.