nyie maarchitect wa humu

nyie maarchitect wa humu

imaney

JF-Expert Member
Joined
Nov 10, 2012
Posts
1,014
Reaction score
314
kiwanja cha 20 kwa 25 unaweza kujenga nyumba?20 kwa 40 je?



ghorofa single storey kwa million 60 inawezekana?km sio shiling ngapi inatosha???


nani anikopeshe millioni 25 dada yenu ninunue kiwanja cha kujidai.....:smile-big:🙂:tape:
 
halafu kila archtect aweke mchoro/kazi ambayo amekwishafanya kny hii thread ili iwe rahisi kumjua mtu amtafute yupi,,...:tongue:
 
kiwanja cha 20 kwa 25 unaweza kujenga nyumba?20 kwa 40 je?



ghorofa single storey kwa million 60 inawezekana?km sio shiling ngapi inatosha???


nani anikopeshe millioni 25 dada yenu ninunue kiwanja cha kujidai.....:smile-big:🙂:tape:
swali la kwanza: Haiwezekani
Swali la pili : Inatosha
Swali la Tatu: Una dhamani gani ili ukopeshwe? NB: Mbunye siyo dhamana
 
swali la kwanza: Haiwezekani
Swali la pili : Inatosha
Swali la Tatu: Una dhamani gani ili ukopeshwe? NB: Mbunye siyo dhamana

thanks wangu,before we go any further naomba unihakikishie kiwanja cha 20*40 hakitoshi kujenga nyumba?
 
thanks wangu,before we go any further naomba unihakikishie kiwanja cha 20*40 hakitoshi kujenga nyumba?
Siyo viwanja vya kujidai. Labda hiyo 20x40 . nacho bado ni cha kujibana. Kiwanja cha kujidai angalau kianzie 26 x40 na ujenge gorofa
 
Back
Top Bottom