Kwa maana pale hufanyi lolote wala hushiriki kwenye maamuzi yoyote umekaa tuu kuzindua nyumba
Huo msafara na gharama alizotumia zingetosha kujenga nyumba nyingine 14
Kwani hakuna mkuu wa mkoa au waziri wa Nyumba na makazi kufanya kazi hiyo ya uzinduzi