Nyerere's legacy failed 100% (economically)

Nyerere hakufel sema kuna watu ndo walimfelisha.


Magufuli hatofeli ila kuna watu ndo wanataka kumfelisha.
Kama mtu ameutaka urais then anashindwa kuwaControl watu ambao amewateua basi hakutakiwa kuomba hiyo nafasi. Yeye ndiye kiranja mkuu wa nchi, chochote kile kibaya kikifanywa na wateule wake ni sawasawa amaefanya yeye. Tusiwape defencr ya kitoto kama hiyo.
 
RAIA Wa nchi hawatokuja hata sikumoja wamkwamishe Rais. Isipokua nguvu kubwa toka nje ndo inayokwamisha.

Fatilia mashariti alopewa nyerere ndo ujue ninachokisema.
 
Heheheeee. Upuuzi wa kuamini fikra za mwenyekiti ndio umetufikisha hapa tulipo. VENEZUELA wanashikilia zidumu fikra za mwalimu, wanalowea kwenye mfumuko wa bei kama zimbabwe

Maendeleo hayaji bila kuwa na maadui
 
Umesema ukweli mtupu nyerere alitulositisha kama nchi mi sioni kitu cha kujivunia cha ajabu alichofanya

Kwa sababu umekariri mambo niambie hizo nchi za Afrika zilizochukua a different path na zikafanikiwa
 

Kwa akili kama hizi WaAfrika tutaendelea kutawaliwa till the end of time
 

Ungekaa ukafikiria utofauti wa watu wa 1960 na 2017 nadhani usingeuliza swali kama hili
 
Aliyeshindwa sio NYERERE bali wale waliokuwa chini yake na ambao hawakuwa tayari kusupport kwa ajili ya maslahi yao.....Walitaka viongozi wawe miungu watu wkt NYERERE alitaka usawa wa kiuchumi, kidini, etc.....
.....................NYERERE HAKUSHINDWA.......................
 

Nyerere hakuwa mbinafsi na alikuwa mtu mwenye akili sana asingeweza kufanya vitu kwa sababu tuwengine wanafanya . Taja nchi ya Afrika iliyo mfumo wa kibepari na imefanikiwa sio bla bla
 
 
Nyerere hakuwa mbinafsi na alikuwa mtu mwenye akili sana asingeweza kufanya vitu kwa sababu tuwengine wanafanya . Taja nchi ya Afrika iliyo mfumo wa kibepari na imefanikiwa sio bla bla

Hiyo ni ramani ya nchi zilizowai kujitangaza kuwa za ki socialist katika historia zao. Japo nyingi ziliachana na hiyi sera baada ya kukosa mafanikio
 
6. Kushindwa kuzuia rushwa serikalini na katika mashirika. Mtu anapewa umeneja wa kiwanda au taasisi anaiba anafilisi kisha anahamishwa toka sehemu moja kwenda nyingine. Ilipaswa afikishwe mahakamani na afilisiwe. Hicho ndicho kimeigwa mpaka leo


Hata kikwete alishindwa kuzuia rushwa na ndicho kipindi rushwa ilitamalaki hadi kufikia Dr Dau kujifanyia atakavyo na kufikia kufilisi nssf. Mabilioni aliyoiba Nssf ni ya kufuru
 
1,2,3,4na 5. Ni kweli iso pingika.... UTOPIA. tulilishwa upepo siasa za ujamaa, ni dhambi kubwa pekee kabisa ilo sababisha yote yaliyofuata. Ila kuna mema na mazuri ambayo huwa yanafanya dhambi ya ujamaa ifutike. Amani na utengamano UMOJA wetu kama watanzania. This makes him my personal hero.
 
Kiuchumi dhambi ya ujamaa ilikuwa kubwa sana na mpaka sasa maumivu yake bado tunayaishi.
 
doesn't make sense
 
Tumekuwa kwenye socialist 23 yrs, lakini tumekuwa kwenye capitalism for 30+ yrs ,mbona hatujafaulu? tumejaribu hata kuuza viwanda vilivyojengwa katika awamu ya kwanza ili twende na kasi ya capitalism lakni bado tunasota, leo hii tumeambuliwa kuibiwa tu, wht does it mean? capitalism ni open up markets for well developed countries waje wafanye biashara zao katika nchi yako, wewe unabaki kuwa mtazamaji, maana hata kodi unayokusanya ni hafifi kutoka kwao ,wanajua bado hamko na elimu ya kutosha na sharia za kuwabana, ndo hayo yanatokea Acacia ,Barick, dangote kule anae anapiga, wachina nao wanakuja na kampuni zao wakiwa na wafanyakazi wake, wanaajiri 5% ya watanzania katika makampuni yao kama assistants hata kama wanaelimu nzuri, ni aina nyingine ya unyonyaji, serikali zetu zimebaki kama watazamaji tu, kwa ufupi bila kumung'unya kwa sasa Bara la Africa UTEGEMEZI umeongezeka zaidi.
 
7. Alichangia kuendelea kwa katiba inayotuumiza hii leo. Hakuamini nguvu ya upinzani, aliamini katika chama chake pekee. Ilifika anasema rais bora atatoka CCM pekee why?

Sio alichangia kuendelea kwa katiba iliyotuumiza, aliandika katiba YEYE na KAWAWA na MSEKWA!

Halafu, alivyokuwa na smug balls anatoka madarakani kaitumia katiba miaka 24 halafu anatuambia NYINYI MNA KATIBA MBAYA SANA YA KIDIKTETA.

Nani kaandika hiyo Katiba, IDDI AMINI? Cosmic levels of hipocrisy.
 
Tatizo ni utekelezaji. Kumbukeni nyerere alimchagua sokoine kuwa waziri mkuu ambaye aliisimamia kiukweliukweli hio ideology ya ujamaa. Cha ajabu alifariki katika mazingira yenye utata mwingi. na ufuatiliaji wa kifo chake sidhani kama ulikua yakinifu. Ndio maana naungana na mtoa uzi kua nyerere alifeli
 
Mimi sioni tatizo lake katika mifumo aliyoaianzisha ,kwa sababu kuu ni moja kuwa lengo lake kuu halikuwa kujilimbikizia Mali ,Bali lilikuwa ni kuitoa nchi kutoka hatua moja kwenda nyingine,kufeli kwa sera kunatokana na sababu mbalimbali,ikiwemo watendaji,wapokeaji n.k
Kwa hiyo kwangu Mimi sijaona tatizo kwake labda vijimapungufu vya kibinadamu tu.
 
Serikali ya marekani huwa inatoa kandarasi kwa makampuni binafsi kutengeneza vifaa na mifumo ya ulinzi. Kwenye mikataba serikali inakuwa na hakimiliki ya teknolojia kwasababu za kiusalama. Pale marekani inapoamua kuiuzia nchi nyingine vifaa au mifumo ya kijeshi serikali ndio inatoa ridhaa kwa sababu ya kuwa na hakimiliki. Mara nyingi nchi moja inapoiuzia silaha nchi nyingie ni lazima silaha hizo zitakuwa zimepitwa na wakati au kuna slight modification. Mfano mzuri ni ndege f22 amabazo Australia, Israel, UK wameuziwa na marekani. Kila nchi imefanya modification kwenye avionics na mifumo mingine ya mawasiliano. Ukweli ni kwamba makampuni binafsi yanatengeneza vifaa vya kijeshi kwenye nchi za magharibi, nchi za mashariki kampuni nyingi zinamilikiwa na serikali.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…