assadsyria3
JF-Expert Member
- Apr 9, 2013
- 6,909
- 4,057
Nyerere legacy failed 100%.
1. Kuchagua sera za ujamaa lilikua kosa lake kwanza.
2. Kuchukua viwanda,Shule, taasisi Na kuzitaifisha lilikua kosa kubwa.
3. Kuanzishwa vijiji vya ujamaa kwa kuwakusanya watu kwa mkono Wa chuma was a great mistake. Watu walipoteza Mali, wengine kushindwa kucope Na mazingira mapya ya kulazimishwa.
4. Kuzuia mfumo Wa vyama vingi Na Uhuru Wa kukosolewa Na zikabaki zidimu fikra za mwenyekiti. Here we are.
5. Kutumia rasilimali za chi kukomboa mataifa mengine bila mkataba Wa kurefund izohela baada ya Uhuru. Check Mozambique Na South wanavotufanyia wamesahau tuliyowafanyia so bora tuwe kamarekan hatumii fedha zake ktk Vita bila return .
6. Kushindwa kuzuia rushwa serikalin Na katika mashirika. MTU anapewa umeneja Wa kiwanda au taasisi anaiba anafirisi kisha anahamishwa toka sehem moja kwenda nyingine. Ilipaswa afikishwe mahakaman Na afirisiwe. Hicho ndicho kimeigwa mpk Leo.
7. Alichangia kuendelea kwa katiba inayotuumiza hii Leo. Hakuamini nguvu ya upinzani, aliamin katika chama chake pekee. Ilifika anasema rais Bora atatoka CCM pekee why?
Tunapaswa kumpima MTU economically kujua alifaulu ama alifeli.
Uchumi Wa Tanzania upo chini sana kwasababu ya zetu tulizoamua kuingia bila referendum kujua km watu wanaafiki ama la.
Siamini kama kuna haja hiyo ya kucelebrate life Mwl. Katika context ya economy.
Na Magufuli's presidency is a success story 100%, hutaki hama nchi!
mkuu mm sijamtaja magufuli, namzungumzia Mwl. je lipi la kucelebrateNa Magufuli's presidency is a success story 100%, hutaki hama nchi!
hahaha akili za kuambiwa changanya Na zakoTuna Imani na nyerere oyaa oyaa oyaaaa, nyerere kweli kwelii kweli kweli nyerereeee, hata kama hupendi, ziba macho na masikio.
It is a fact he failed miserably to steer countrie's economy in the right direction.Ndiyo tunasherehekea kila mwaka hata kama wewe na ukoo wako hamtaki.
It is a fact he failed miserably to steer countrie's economy in the right direction.
Sababu ya kutoa povu ni nini! Mitume wanakosolewa seuze nyerere! Alikuwa binadamu kama binadamu wengine, na ni ukweli usio na shaka alifeli kiuchumi tena vibaya sana. Alirithi viwanda vinafanya kazi kutoka kwa wakoloni, wakati anang'atuka viwanda vilikuwa hoi bin taabani. Nyerere will always remain a true statesman but kwenye uchumi alifeli pasina shaka.I am concerned about your mental health, for bringing up this stupid thread.Nyerere was and will be remembered as the man of the people. He may have fallen short on somethings, but he delivered most of the good things that makes us call ourselves Tanzanian. So, if you don't like that, "go **** yourself". Thank you.
Nani kakwambia simpendi nyerere?! huwezi kukana kweli kwasababu ya mapenzi. Ukweli utabaki kuwa ukweli. Kama kupanga foleni kusubiri duka la SUKITA au TRC lifunguliwe ilikuwa ni fahari inabidi upimwe akili.Ndiyo lakini bado tunampenda hivyo hivyo na hatujali maneno yenu ya majungu.