ukabila sijui, ila hili linarithiwa na ujinsia, anapendelea sana wanawake kuliko wanaume hata kama ni kwa hasara ya nchi, yaani uwezo wa kinamama ni mdogo; mfano tu siku hizi unasikia DC, RC anayevumaaaa??? hakuna vile kaweka wamama kibao utendaji ni wa kudesa tu na business as usual hakuna ubunifu ya Mnari etc.