fikirikwanza
JF-Expert Member
- Jan 25, 2012
- 7,452
- 3,065
1. Je rais tuliye naye anapiga vita rushwa? Nakerwa na rushwa, anaongoza mapambano wazi wazi juu ya rushwa???
2. Je anashughulika na umasikini wa Watz? Je anajua nchi hii bado ni ya wakulima na wafanyakazi???
3.Je unakerwa na udini? Mtu aijue mwenyewe dini yake sio wakati wa uteuzi wa nafasi tunabalansisha dini za watu, je anakerwa na uduni??
4. Je anapinga ukabila kwa namna yoyote ile???
PIMA MWENYEWE KAMA AWAMU YA TATU, NA YA NNE IMETUSAIDIA KUPUNGUZA LOLOTE KATI YA HAYO MANNE.
Nawasilisha
2. Je anashughulika na umasikini wa Watz? Je anajua nchi hii bado ni ya wakulima na wafanyakazi???
3.Je unakerwa na udini? Mtu aijue mwenyewe dini yake sio wakati wa uteuzi wa nafasi tunabalansisha dini za watu, je anakerwa na uduni??
4. Je anapinga ukabila kwa namna yoyote ile???
PIMA MWENYEWE KAMA AWAMU YA TATU, NA YA NNE IMETUSAIDIA KUPUNGUZA LOLOTE KATI YA HAYO MANNE.
Nawasilisha