MWANALUGALI
JF-Expert Member
- Feb 1, 2010
- 601
- 34
Namuona Baba wa Taifa kweny TV Sibuka akiwaponda viongozi ambao nchi imewashinda kutawala na badala yake wanakimbilia makando kando. nyerere ni kiboko bwana huyu ni kiona mbali maana mambo aliyosema mwaka 1995 yanatokea hata leo!