Ntemi Kazwile
JF-Expert Member
- May 14, 2010
- 2,182
- 309
Nyerere aliwahi kusema hivi "mtu akiwa anajua kuwa una akili timamu, akakwambia kitu cha kipumbavu na akajua unajua ni cha kipumbavu na ukakubari, atakudharau"
Leo hii tunapojiandaa na uchaguzi mkuu watakuja watu wanatuambia kuwa Jakaya Mrisho Kikwete ni mtu anayefaa kupewa ridhaa ya miaka mingine mitano, huku watu hao wanajua kuwa hawezi na kwa hiyo hapaswi kupewa ridhaa, na sisi tunajua kuwa hafai, na tukakubali tukampa hiyo ridhaa kwa ushindi wa kimbunga, basi watu hao watatudharau sana.
Leo hii tunapojiandaa na uchaguzi mkuu watakuja watu wanatuambia kuwa Jakaya Mrisho Kikwete ni mtu anayefaa kupewa ridhaa ya miaka mingine mitano, huku watu hao wanajua kuwa hawezi na kwa hiyo hapaswi kupewa ridhaa, na sisi tunajua kuwa hafai, na tukakubali tukampa hiyo ridhaa kwa ushindi wa kimbunga, basi watu hao watatudharau sana.