bhikola
JF-Expert Member
- Apr 2, 2012
- 1,130
- 1,660
Habari wana jamii!!
Mimi sijambo sana.
Back to topic
Nakumbuka sana wakati huu maneno ya muasisi wa taifa hili Mwl. Julius Kambarage Nyerere kuhusiana na rushwa, embu jikumbushe kidogo!
- Serikali corrupt kote duniani hazikusanyi kodi, hii ndiyo sifa kubwa ya serikali corrupt, haiwezi kukusanya kodi
- Tunataka raisi ambaye anachukia rushwa kwa dhati ya moyo wake, na aseme hadharani kuwa anachukia rushwa, na ndugu zake na rafiki zake wamtambue hivyo!
- Tunataka mtu ambaye akisema anachukia rushwa, ukimuangalia usoni uone kweli anachukia rushwa. sasa mwingine akisema anachukia rushwa, ukimuangalia unasema "huyuuu!"
- ... Lakini nilikuwa nachukia rushwa zaidi kuliko kumtandika mtu viboko!!
- Rushwa ni adui wa haki, hauwezi kununua haki yako mwenyewe ..
ongezea na nukuu zake nyingine
Namuona Mwl ndani ya Mtumbua Majipu (MM - PhD)
Weekend njema:spy:
Mimi sijambo sana.
Back to topic
Nakumbuka sana wakati huu maneno ya muasisi wa taifa hili Mwl. Julius Kambarage Nyerere kuhusiana na rushwa, embu jikumbushe kidogo!
- Serikali corrupt kote duniani hazikusanyi kodi, hii ndiyo sifa kubwa ya serikali corrupt, haiwezi kukusanya kodi
- Tunataka raisi ambaye anachukia rushwa kwa dhati ya moyo wake, na aseme hadharani kuwa anachukia rushwa, na ndugu zake na rafiki zake wamtambue hivyo!
- Tunataka mtu ambaye akisema anachukia rushwa, ukimuangalia usoni uone kweli anachukia rushwa. sasa mwingine akisema anachukia rushwa, ukimuangalia unasema "huyuuu!"
- ... Lakini nilikuwa nachukia rushwa zaidi kuliko kumtandika mtu viboko!!
- Rushwa ni adui wa haki, hauwezi kununua haki yako mwenyewe ..
ongezea na nukuu zake nyingine
Namuona Mwl ndani ya Mtumbua Majipu (MM - PhD)
Weekend njema:spy: