NYERERE NA RAIS MVUNJA KATIBA

Mmheshimiwa sana Mtukufu Malaika yeye yuko juu ya Sheria, anaamua anachotaka na muda huohuo inakuwa ni sheria
 
Umechaguliwa kwa katiba hiyohiyo halafu unaona haya kuilinda na kuitetea, hutufai, nenda huko ukalime shamba lako
 
Back
Top Bottom