B babtut JF-Expert Member Apr 13, 2015 1,094 711 Aug 30, 2016 #2 Mmheshimiwa sana Mtukufu Malaika yeye yuko juu ya Sheria, anaamua anachotaka na muda huohuo inakuwa ni sheria
Mmheshimiwa sana Mtukufu Malaika yeye yuko juu ya Sheria, anaamua anachotaka na muda huohuo inakuwa ni sheria
MKWEPA KODI JF-Expert Member Nov 28, 2015 28,707 71,003 Aug 30, 2016 #3 Umechaguliwa kwa katiba hiyohiyo halafu unaona haya kuilinda na kuitetea, hutufai, nenda huko ukalime shamba lako
Umechaguliwa kwa katiba hiyohiyo halafu unaona haya kuilinda na kuitetea, hutufai, nenda huko ukalime shamba lako