Watanzania bado tuna shida ktk kufikiri!
Hadi sasa watu wengi wanadhani watalii wengi watakujaTanzania kuliko nchi nyingine yeyote kwa kuwa kuna simba na wadudu wengine!
Waziri Maghembe, hebu utazame "mgodi" huu ambao hatujaanza kutumia na wala hatuuwazii kabisa! South Africa, Zanzibar na Egypt zina watalii wengi sana lkn vivutio kikubwa huko sio wanyama au wadudu gani, ni historia! Historia inavutia watu binafsi, taasisi kama vyuo vikuu vya ndani na nje, watu wa filamu na waandishi wa makala!
Mwl. J.K. Nyerere aliingiza nchi yetu ktk historia ndefu sana ya ukombozi kusini mwa Africa! Leo watu wanaenda south kuona just chumba cha gereza alichokaa Mandela! Yet kuna sehemu kama Mazimbu ambapo wapigania Uhuru wa south waliishi for ages wala haipo ktk historia!
Tuanze sasa kulazimisha historia zenye tija ktk uchumi wetu!
Tuwafanye wa-Namibia, Msumbiji, Zimbabwe, South Africa na hata Uganda sehemu za historia zao ziambatane na utalii wetu! Tuyarejeshe maeneo yote muhimu yenye historia za ukombozi chini ya utawala wa makumbusho ya taifa na tuyafanyie sehemu ya historia yetu! Eneo lililokuwa na radio ya FRELIMO ni sehemu ktk historia ya Mozambique, pia tuiweke historia ya Mwl, hata kama itatugharimu kutengeneza movie ya Mwalimu ktk harakati, ni jambo zuri! Huu utalii wa historia uambatanishwe na ule wa wanyama!
Tukikaa tu na mbinu, Nyumbu watu awatoona cha ziada tunahoweza kuoffer so wanatuchukulia poa tu!
Hebu turejee huu mgodi liotuandalia Mwalimu na uufanyie kazi!
Hadi sasa watu wengi wanadhani watalii wengi watakujaTanzania kuliko nchi nyingine yeyote kwa kuwa kuna simba na wadudu wengine!
Waziri Maghembe, hebu utazame "mgodi" huu ambao hatujaanza kutumia na wala hatuuwazii kabisa! South Africa, Zanzibar na Egypt zina watalii wengi sana lkn vivutio kikubwa huko sio wanyama au wadudu gani, ni historia! Historia inavutia watu binafsi, taasisi kama vyuo vikuu vya ndani na nje, watu wa filamu na waandishi wa makala!
Mwl. J.K. Nyerere aliingiza nchi yetu ktk historia ndefu sana ya ukombozi kusini mwa Africa! Leo watu wanaenda south kuona just chumba cha gereza alichokaa Mandela! Yet kuna sehemu kama Mazimbu ambapo wapigania Uhuru wa south waliishi for ages wala haipo ktk historia!
Tuanze sasa kulazimisha historia zenye tija ktk uchumi wetu!
Tuwafanye wa-Namibia, Msumbiji, Zimbabwe, South Africa na hata Uganda sehemu za historia zao ziambatane na utalii wetu! Tuyarejeshe maeneo yote muhimu yenye historia za ukombozi chini ya utawala wa makumbusho ya taifa na tuyafanyie sehemu ya historia yetu! Eneo lililokuwa na radio ya FRELIMO ni sehemu ktk historia ya Mozambique, pia tuiweke historia ya Mwl, hata kama itatugharimu kutengeneza movie ya Mwalimu ktk harakati, ni jambo zuri! Huu utalii wa historia uambatanishwe na ule wa wanyama!
Tukikaa tu na mbinu, Nyumbu watu awatoona cha ziada tunahoweza kuoffer so wanatuchukulia poa tu!
Hebu turejee huu mgodi liotuandalia Mwalimu na uufanyie kazi!