Nyerere: Ikulu ni Mahali Patakatifu

johnthebaptist

JF-Expert Member
May 27, 2014
84,914
143,457
Your browser is not able to display this video.

Nyerere kwa kuamini Ikulu ni Mahali Patakatifu alilazimika Kuishi Msasani

Je, ni kweli Ikulu ni Mahali Patakatifu kama ilivyo Kanisani au Msikitini?

Ramadan Kareem πŸ˜„
 
Nyerere kwa kuamini Ikulu ni Mahali Patakatifu alilazimika Kuishi Msasani

Je, ni kweli Ikulu ni Mahali Patakatifu kama ilivyo Kanisani au Msikitini?

Ramadan Kareem
Tumia akili kuuliza Acha kuuliza jibu Ikulu msikiti na kanisa ni sehemu Takatifu sio mapango ya kupiga dili kupanga kumpiga risasi Tundu lissu Kuwateka Mo na Roma kuvamia CLOUDS na Kuiba Fedha za Umma
 
Nyerere kwa kuamini Ikulu ni Mahali Patakatifu alilazimika Kuishi Msasani

Je, ni kweli Ikulu ni Mahali Patakatifu kama ilivyo Kanisani au Msikitini?

Ramadan Kareem I

Nyerere kwa kuamini Ikulu ni Mahali Patakatifu alilazimika Kuishi Msasani

Je, ni kweli Ikulu ni Mahali Patakatifu kama ilivyo Kanisani au Msikitini?

Ramadan Kareem πŸ˜„
Labda ikulu nyingine za huko Duniani but hii ya kwetu ni pango la "WANYANG'ANYI"
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…