Nyerere angekuwepo angeifanya nini CCM?

Nyerere angekuwepo angeifanya nini CCM?

Kiweli

Senior Member
Joined
Sep 15, 2024
Posts
142
Reaction score
118
Kuelekea safari ya Oct 29 Kama Mwalimu JK angekuwa hai angefanya nini ndani ya CCM?


 
Huyo ndio katuachia katiba ya hovyo na chama cha kifisadi
Kwamba mtu alikufa 26yrs ago bado lawama ni kwake?
Wakati tunaingia vyama vingi huyu mtu alikuwa na cheo gani serikalini?
Aliachia madaraka wakati katiba ikiwa na miaka mingapi?

Ukijibu hayo maswali utjaona huna akili.
 
Walimpg Kofi Yule Mzee Mstaafu Na Aliyempiga Kofi Anakula Mashavu Tuu

Angekuwepo Angeweza Chezea Vitasa Tu Hii Nchi Walio Na Mamlaka Wanaona Wana Hati Ya Nchi
 
Ni upumbavu kumtupia lawama mtu aliyefariki zaidi miaka 20 iliyopita, miaka 25 tumeshindwa kubadili katiba tunabebesha lawama mfu?
Pumbqvu kabisa.
Kuibadilisha sio rahisi. Kuna watu wenye mamlaka makubwa wananufaika nayo. Haya mambo ya kuuana na kutekena ni harakati za watu kulinda masilahi yao. Kwahiyo nyerere kama mhasisi hawezi kukwepa lawama. Uzuri ni kwamba aliziona loopholes za kikatiba hata yeye mwenyewe akasema katiba imempa madaraka makubwa ya kuweza kuyatumia kama Mungu
 
Asingeweza kufanya chochote angekua ni mzee mstaafu tu asiekua na nguvu yoyote kama walivyo hawa wakina warioba
 
Kuibadilisha sio rahisi. Kuna watu wenye mamlaka makubwa wananufaika nayo. Haya mambo ya kuuana na kutekena ni harakati za watu kulinda masilahi yao. Kwahiyo nyerere kama mhasisi hawezi kukwepa lawama. Uzuri ni kwamba aliziona loopholes za kikatiba hata yeye mwenyewe akasema katiba imempa madaraka makubwa ya kuweza kuyatumia kama Mungu
Mfumo huu uliowekwa na Nyerere haya ni matunda ya mti alioupanda yeye.
 
Asingeweza kufanya chochote angekua ni mzee mstaafu tu asiekua na nguvu yoyote kama walivyo hawa wakina warioba
Yeye ndiye aliyekuja Zanzibar mwaka 1995 kulazimisha mgombea wa CCM afanywe mshindi baada ya kushindwa na CUF wakati ule. Nyerere ni Laana mtu yule.
 
Achana Nyerere tu hana kina Mkapa na Wazee wengine wachache wangekuwepo haya yanayotokea yasingetokea Tatizo hakuna Figure Head na Kila mtu anajiona Boss na anayejiona Boss amezungukwa na Machawa
 
Kuibadilisha sio rahisi. Kuna watu wenye mamlaka makubwa wananufaika nayo. Haya mambo ya kuuana na kutekena ni harakati za watu kulinda masilahi yao. Kwahiyo nyerere kama mhasisi hawezi kukwepa lawama. Uzuri ni kwamba aliziona loopholes za kikatiba hata yeye mwenyewe akasema katiba imempa madaraka makubwa ya kuweza kuyatumia kama Mungu
Yeye alipoona loopholes na akasema kuwa Kuna loopholes ilitakiwa wahusika hasa wabunge(wawakilishi wa wananchi) wachukue hivyo tumtoe kwenye lawama
 
Yeye alipoona loopholes na akasema kuwa Kuna loopholes ilitakiwa wahusika hasa wabunge(wawakilishi wa wananchi) wachukue hivyo tumtoe kwenye lawama

Kwani nani aliziweka hizo loopholes? Huyo mzee alikuwa mlafi wa madaraka na liccm lake!
 
Yeye alipoona loopholes na akasema kuwa Kuna loopholes ilitakiwa wahusika hasa wabunge(wawakilishi wa wananchi) wachukue hivyo tumtoe kwenye lawama
Angeweza kufanya kitu, infact hizo loopholes ziliwekwa kimkakati. Mkakati ambao na yeye pia alishiriki
 
Back
Top Bottom