Hebu jiulize swali hilo hilo na uondoe jina Zitto uweke Slaa. Halafu utupe majibu.
Kwa kweli zitto anawawasha, hamuishi kumlinganisha na kila kiumbe, kweli kijana ni threat kwenu mwawashwaaa sana
alikuwa nao wengi sana kutoka kundi linalodai kuwa lilimkaribisha mzizima.Wengine walipiga kwa fikra,wengine waliwachapa viboko hadharani, wengi aliwapa ubwabwa bora ukombozi ufikiwe.hao watu hawajaisha wanaolilia ubwabwa vitani wakati wenzio nao wana njaa na hawana pa kuupata kama wao wenyewe.Pamoja na kupewa ubwabwa wakati wengine wakipambana bado leo ndio wanaodai walipigana sana kuuleta uhuru zaidi ya kuchukua nafsi yao ya kuwa kikwazo.
wewe ni mpumbavu.Asingekuwa na jipya, kwanza tungemuona kama Kingunge Ngombarimwiru tu !!!!