K Kabwe Katali JF-Expert Member Dec 8, 2021 475 934 Dec 19, 2021 #1 Siku za hivi karibuni kumekuwa na usimikaji wamachifu.Hii imekaaje wa JF wenzangu.
R ruaharuaha JF-Expert Member Feb 14, 2018 3,554 3,749 Dec 19, 2021 #2 Ni vizuri kuuendeleza Mila, desturi, historia, utamaduni wetu. Wote hawana mamlaka ya kiserikali. Wapo kusaidia jamii, watoto wetu, jamii zetu. Tusaidiane, tusijali sana status, pesa, umaarafu.
Ni vizuri kuuendeleza Mila, desturi, historia, utamaduni wetu. Wote hawana mamlaka ya kiserikali. Wapo kusaidia jamii, watoto wetu, jamii zetu. Tusaidiane, tusijali sana status, pesa, umaarafu.
mrangi JF-Expert Member Feb 19, 2014 80,852 106,061 Dec 19, 2021 #4 Uchief ulikuwa unawatishia amani Ova
Jasmoni Tegga JF-Expert Member Oct 28, 2020 9,878 19,807 Dec 19, 2021 #5 Imebaki kwa ajili ya matambiko tu, according to JKN
Behaviourist JF-Expert Member Apr 8, 2016 39,902 95,406 Dec 19, 2021 #6 Sasa hivi tuna marais wafalme😁😁😁