Salary Slip
Platinum Member
- Apr 3, 2012
- 52,209
- 162,780
Aliekuwa Raisi wa Kenya,hayati mzee Jommo Kenyatta alikuwa akilala baharini ili kumuombea Nyerere atawale Tanganyika.Maelezo hayo yametolewa na mzee Idd Nhende wa Sinza Dar-es-salaam katika mahojiano na gazeti la Tanzania Daima.
Mzee huyo amedai Mzee Kenyatta alikuwa akilala bahari siku tatu kabla ya kutangazwa kwa uhuru wa Tanganyika.Mzee Kenyatta alikuwa anaenda kulaka ufwekeni mbele ya Ikulu na walinzi wake huku wakiwa na soda na kuwaagiza walinzi wake wampige teke ikifika saa sita usiku ili amke na kujitosa baharini.
Kwa maelezo ya mzee huyo wa miaka 81 ni kuwa ilikuwa ikifika saa 2 usiku wote walikuwa wakiekekea ufukweni karibu na lango la Ikulu huku wakiwa wamebeba soda mikeka.Mzee huyo(mlinzi) ameeleza zaidi kuwa alietaka kunywa soda alikunywa na walikuwa wakilala kwenye mikeka hiyo na mzee Kenyatta alikuwa akilala katikati ambapo kulia na kushoto walilala wajukuu zake.Mzee huyu anasema Kenyatta alimwagiza kuwa ikifika saa 6 ampige teke kwenye unyayo ili amke.Baada ya kuamka wote huingia kwenye maji usawa wa magoti na mzee Kenyatta akawa anawamagia maji kwa kutumia usinga wake katika kumuombea Nyerere atawale vizuri Tanganyika.
UFAFANUZI:
Hii habari ni ndefu na katika ukurasa wa 14 haya yalifanyika hapa Tanzania na Kenyatta alikuwa mgeni wa Nyerere wakati huo mzee Kenyatta akiwa kiongozi wa KANU.Mzee Idd Nhende aliteuliwa na Nyerere kuwa mlinzi wa mzee Jomo Kenyatta alipokuwa hapa nchini.
Kwa maelezo zaidi soma gazeti husika online au subiri ununue gazeti hilo kesho.
CHANZO:TANZANIA DAIMA ONLINE
MY TAKE:
Hii habari ni ya ajabu sana na ngumu kuiamini!
Mzee huyo amedai Mzee Kenyatta alikuwa akilala bahari siku tatu kabla ya kutangazwa kwa uhuru wa Tanganyika.Mzee Kenyatta alikuwa anaenda kulaka ufwekeni mbele ya Ikulu na walinzi wake huku wakiwa na soda na kuwaagiza walinzi wake wampige teke ikifika saa sita usiku ili amke na kujitosa baharini.
Kwa maelezo ya mzee huyo wa miaka 81 ni kuwa ilikuwa ikifika saa 2 usiku wote walikuwa wakiekekea ufukweni karibu na lango la Ikulu huku wakiwa wamebeba soda mikeka.Mzee huyo(mlinzi) ameeleza zaidi kuwa alietaka kunywa soda alikunywa na walikuwa wakilala kwenye mikeka hiyo na mzee Kenyatta alikuwa akilala katikati ambapo kulia na kushoto walilala wajukuu zake.Mzee huyu anasema Kenyatta alimwagiza kuwa ikifika saa 6 ampige teke kwenye unyayo ili amke.Baada ya kuamka wote huingia kwenye maji usawa wa magoti na mzee Kenyatta akawa anawamagia maji kwa kutumia usinga wake katika kumuombea Nyerere atawale vizuri Tanganyika.
UFAFANUZI:
Hii habari ni ndefu na katika ukurasa wa 14 haya yalifanyika hapa Tanzania na Kenyatta alikuwa mgeni wa Nyerere wakati huo mzee Kenyatta akiwa kiongozi wa KANU.Mzee Idd Nhende aliteuliwa na Nyerere kuwa mlinzi wa mzee Jomo Kenyatta alipokuwa hapa nchini.
Kwa maelezo zaidi soma gazeti husika online au subiri ununue gazeti hilo kesho.
CHANZO:TANZANIA DAIMA ONLINE
MY TAKE:
Hii habari ni ya ajabu sana na ngumu kuiamini!