Mohamed Said
JF-Expert Member
- Nov 2, 2008
- 20,915
- 30,259
Mkuu kejeli km hizo zisikukatishe tamaa kwani kujitambua kwetu na kukataa kwetu kuendelea kudunishwa, kupuuzwa na kudharirishwa ni pigo kwao waliozoea kubebwa. Hivi sasa hakuna mwenye akili asiyefahamu kuwa manamba wa mashamba ya mkonge ya Tanga ndio walioandaliwa na nyerere, kuvamia zanzibar, kufanya mauaji ya kimbari na kisha kupindua dola.Kisa kudhibiti kuenea kwa uislam afrika mashariki na kukuza ustawi wa ukristo hususan wa kikatoliki.
Ahsante ndugu yangu.
Insha Allah nitaendelea na darsa hizi kadri Allah atakavyoniwezesha.
Kuna baadhi wanasema wanafaidika sana na darsa hizi ila kinachowakera
ni ''udini.''