Abdulhalim
Platinum Member
- Jul 20, 2007
- 17,193
- 3,011
Una ushahidi kwa mujibu wa nani?Mimi kila nilichoandika kuhusu Nyerere nina ushahidi.
Kwa mtu anayechunguza mambo, kitabu si tatizo facts are. Suala kuu ni ukweli wa kinachozungumziwa.Kitabu changu "The Life and Times of Abdulwahid Sykes..." kimechapwa London mwaka 1998.
Ningefurahi ukaweka na feedback au response yake kuhusiana na tuhuma zako.Nyerere yu hai na alikisoma.
Sikusuburi afe ndiyo nizungumze habari zake.
Acha sifa zako zionekane na zisemwe na wengine, sio na wewe mwenewe kwa kujipigia chapuo.Nadhani ushaelewa kuwa uoga si sifa yangu.
Lete jingine kama lipo.
Yapo mengi, ila tuanze na haya/